Diva 'divatheebawse' amekimbia kwa mume wake usiku huu na ameamua kuwaaga fans wake. Wakubwa wenzangu huyu tumshauri au tumwache?

Kama ushapanda hizo gari yule Masai na kujisia kote kule mara kinyama sijui porini ajue tayari kakanyagiwa kwa kigezo Cha Ubroo wa Ki-Digitali.
 
Kama ushapanda hizo gari yule Masai na kujisia kote kule mara kinyama sijui porini ajue tayari kakanyagiwa kwa kigezo Cha Ubroo wa Ki-Digitali.

Una uhakika?! Mmezoea kwenu mnakulana ndugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naona una Hama ID tu .
Unalog out huku unaingia huku .
Ukweli mchungu Bwana Masai.

Ushakosa vya kuongea sasa?! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Id imeingiaje na kwann mnalazimisha kusema hii Id ya Kantri?!! Wewe mbona demu lkn hatusemi? Tupe uthibitisho km wewe sio dem?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…