Diva 'divatheebawse' amekimbia kwa mume wake usiku huu na ameamua kuwaaga fans wake. Wakubwa wenzangu huyu tumshauri au tumwache?

Lulu Michael sana tu na hata siku alivomuua kanumba MTU WA kwanza kumpigia Kiba akaenda kumsaidia na alivotoka jela mwanzoni kamla mla ndo akaanza Sasa kurudi kwenye fomu yake

Yaani kiba amewala mno, na ana nyota ya kupendwa sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] Kelsea mdogoangu leo maswali unaniuliza mengi, tunakoelekea utataka kujua mpk umri wa mama Kiba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi utaniambia siku nyingine. Umbea ulinipita sijui nilikua wapi
 
Tena kwa huyo Muha wa Kigoma alijua kusumbua yule dada khaaaaaa!!

Kumbe ndugu yangu una kumbukumbu nzuri
Balaaaa...yaani sijui alikua anadhani ataolewa[emoji2][emoji2][emoji2]
Nna kumbuka ndugu sisi Tena wahengaaa!!!!
 
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]àfu kimya kimya wanawake wenyewe ndo wanaongea halafu ujuey
Kiba anachinja kimya kimya. Nilitaman sana angemuoa Jojo sijui nini kilitokea. Walitengeneza kapo tamu.
 
Tena kwa huyo Muha wa Kigoma alijua kusumbua yule dada khaaaaaa!!

Kumbe ndugu yangu una kumbukumbu nzuri
Mimi nilihisi jamaa anaweza oa pale nikaja kushangaa naona picha za harusi na bibi harusi ni mwingine [emoji1787] maisha haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…