Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Ndo wanaishia kuparaganyika wazi wazi km hivii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wana mahusiano ya kufurahisha wapenzi watazamaji huku wao wakitaabika kwa maumivu
Jiandae na wewe si mwanamke.Shekhe kuachwa
Halafu kachambwa kwamba yeye ni mgonjwa na aliuguzwa sana
Tena kuuguzwa kwenyewe ni kwa pesa za diva maana yeye kalaghabaho
Kaka zangu tafuteni pesaaaa
Huyu anatafuta kiki...post 2 haelezei kosa la ben 10 wake ..kiki tu huyu🤣🤣🤣tujikumbushe
KabisaHuyo dem ni saa mbovu iliyo rekebishwa majira na huyo msela, saizi ishapoteza tena majira...🤣
Ushirikina mashehe wa mchongo hawa km dk mwaka wanawaroga hawa mabinti hawakubaligi kwa mapenzio bali ni kuvutwa kwa uchawi ndio maana yanakuwa na mwisho mbayaDuh aiseee ndoa yenyewe kama aliilazimisha flani hivi
Si umeripoti ya Diva.. Nyie wote kambi moja lugha moja.Hata wanawake wanazo
Kama huamini kawaulize wenzio kina mbasha