Diva: Siwezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume asiyejua kuongea kingereza

Mbona wanaokijua hawamuoni sasa au yeye hajui kama hana viwango vya tunaoongea kiinglish?
 
Kumbe wa kawaida kuliko kawaida yenyewe! Ngoja ajibaraguze. Ipo siku atasema anataka wazee vijana hawataki kwakuwa atakuwa kachemka kucompete na warimbwende wa ukweli wa jiji
 
Prof mary karoro okurut, katika kitabu chake "the official wife" alihoji, "does vargina go to school", alikuwa anawazungumzia wanaume waliokuwa wanaacha wake zao ksa kgezo cha elimu
 
Hapo ndiyo vidume mtofautishe kati ya kupenda na kutamani.kuna wimbo flan waliimba the welas unaitwa the blac sheet man.kumbe ulikua na maana kubwa sanaa kwa watu wenye rangi kama hyo ya sijui diva.siye watu weusi tuna shida sanaaaa!.
 
Kwanza ana simama na vitoto muda wote yan Diva sijui kama yuko sahihi kichwani
 
Ina maana wazazi wako huo hamuongei au lugha ni kwenye mapenzi tu...
 
Baada ya yote tunaishia kwenye mahojiano....hizi mbwembwe za mjini zinazidi kuboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…