Diva: Siwezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume asiyejua kuongea kingereza

Diva: Siwezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume asiyejua kuongea kingereza

Sidhani kama kuna mwanaume mwenye Akili timamu na Hekima anayeweza kutamani kumuoa huyo Diva.
Malaya wa kujiuza mitandaoni apendwe na nani?
 
Uyo dada muongo kuna jamaa alikuwa anatoka naye nimshikaji wangu mbona ajui kingereza na hanaishi kinondoni muongo huyo
 
Kama ni London, angekoma. Kila mtu anazungumza hiyo lugha.
 
Kuna tofauti kati ya kuongea kiingereza na kuongea kwa lafudhi ya kiingereza(UK or USA accent). Nawakubali west Africans, wao wanaongea kiingereza chao. Wabongo grammar inasumbua na bado anabana pua.
 
Atakuja kukumbuka kupata mwanaume ambaye hajui kuongea kiingereza umri ukiwa umemtapa mkono na kapata migegedo ya kila aina na mwisho wa siku anabaki kuishi maisha ya wema type
Uingereza kuna vichaa kibao wanaongea kiingereza....
 
Sisi tunaojua kupenga vizuri hii lugha ya malkia tutamgonga sana huyu demu. Hahahaaa waswahili Mungu anawaona mnavyomkasirikia shemeji yenu.
 
Wasalaam wana jamvi.

________________________________________

Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Diva The Bosslady amefunguka kwa kudai kuwa hawezi kudate na mwanaume ambaye hajui kuongea kingereza kwa kuwa yeye katika maisha yake huongea Kiingereza zaidi kuliko Kiswahili.

Akiongea na waandishi wiki hii, Diva amedai wanaume ambao amewahi kutokana nao wanazungumza lugha hiyo ambayo amedai inamvutia sana. "Sipendi mwanaume ambaye hajui Kiingereza, napenda kudate na mwanaume ambaye anajua Kiingereza," alisema Diva. "Yaani imetulia na inapendeza kwa sababu siyo local local, wapo ambao waliwahi kunitokea lakini baada ya kujua hawajui kingereza nikawatosa," Alisema wanaume wake wengi anakutana nao kwa mara ya kwanza kupitia kipindi chake cha Ala za Roho kwa kuwa ndio sehemu ambayo atakutana na watu mbalimbali.

Mtangazaji huyo ambaye pia ni muimbaji wa muziki kwa sasa anatoka kimapenzi na muimbaji 'Heri Muziki'.
Hahaha!..Ngoja nitafute ticha wa inglish kozi asee,Ntawakosa awa madada wazuri wazuri
 
Back
Top Bottom