Diva the Bawse: Ni kweli kabisa sijui kupika, ila Mahari yangu ya 'Kuolewa' ni Shilingi Bilioni 10

Diva the Bawse: Ni kweli kabisa sijui kupika, ila Mahari yangu ya 'Kuolewa' ni Shilingi Bilioni 10

Mtangazaji maarufu kabisa wa Vipindi vya Mapenzi Diva The Bawse amekiri kuwa kupika hajui ila haolewi bila Mahari ya Bilioni Kumi.

Chanzo: globalpublishers

Binafsi kama GENTAMYCINE nimejiuliza Maswali mengi mno tu na kuanza kuhisi kuwa huenda huyu Mbunye yake ni ya Dhahabu tupu.
Kuna wanaume hasa wasio na pesa wakisikia Bilion 10 wanajawa na hasira za karibu sana.

Umaskini nomaaaaaa
 
Mtangazaji maarufu kabisa wa Vipindi vya Mapenzi Diva The Bawse amekiri kuwa kupika hajui ila haolewi bila Mahari ya Bilioni Kumi.

Chanzo: globalpublishers

Binafsi kama GENTAMYCINE nimejiuliza Maswali mengi mno tu na kuanza kuhisi kuwa huenda huyu Mbunye yake ni ya Dhahabu tupu
Sielewi kwanini unamchukulia serious yule mpuuzi, kashajijua hana atakaemtaka kumuoa ndio maana analeta upuuzi
 
Anaezungumza kuhusu kuolewa ni yeye..

Waoaji wala hawana habari...
Ni kama ukimsoma vizuri ni anapiga kelele waoaji wamsikie lakin wapi..

Ni sawa na mwanamke akwambie Ukinitongoza sikupi na wala hujamtongoza wala kupanga kumtongoza..
Wenye akili watajua keshavua na nguo tayari anakusubiri ujaribu tu..

Hawa ndo wanalipaga wenyewe mahari ..
Komenti yako ungeiandika mapema Kuna demu tayari ningeshamla. Alikuwa rafiki wa mshikaji wangu kwa chuo.
Siku moja kaja room katika stori akaniambia hivi lakini akimwelekea rafiki yake John.
" John huyu rafiki yako akinitongoza simkubalii..
Unaskia we Kaka hata ewe ukinitongoza sikubali. Wakacheka nikaulizwa wa kutongozwa ndo Kama wewe?
 
Mtangazaji maarufu kabisa wa Vipindi vya Mapenzi Diva The Bawse amekiri kuwa kupika hajui ila haolewi bila Mahari ya Bilioni Kumi.

Chanzo: globalpublishers

Binafsi kama GENTAMYCINE nimejiuliza Maswali mengi mno tu na kuanza kuhisi kuwa huenda huyu Mbunye yake ni ya Dhahabu tupu
Na cha kushangaza hataolewa masikini na akiamua hata kuzaa atazaa na ivi vibenten vya kina aunty Ezekiel
 
Mtangazaji maarufu kabisa wa Vipindi vya Mapenzi Diva The Bawse amekiri kuwa kupika hajui ila haolewi bila Mahari ya Bilioni Kumi.

Chanzo: globalpublishers

Binafsi kama GENTAMYCINE nimejiuliza Maswali mengi mno tu na kuanza kuhisi kuwa huenda huyu Mbunye yake ni ya Dhahabu tupu
Dhahabu yenyewe haina hiyo thaman
 
Mtangazaji maarufu kabisa wa Vipindi vya Mapenzi Diva The Bawse amekiri kuwa kupika hajui ila haolewi bila Mahari ya Bilioni Kumi.

Chanzo: globalpublishers

Binafsi kama GENTAMYCINE nimejiuliza Maswali mengi mno tu na kuanza kuhisi kuwa huenda huyu Mbunye yake ni ya Dhahabu tupu
Kama kwa hela hiyo ataruhusu mume kufanya threesome na pia kufukua tope ah kama una hela una muwowa tuu.
 
Back
Top Bottom