Uchaguzi 2020 Divine Power ndani ya Lissu si mchezo

Uchaguzi 2020 Divine Power ndani ya Lissu si mchezo

1. CHAKU SIKITISHA ZAIDI HAWEZI KUWA RAISI WA TANZANIA LABDA MAKAMU ENDAPO TUTALAZIMIKA KUINGIA MSETO.
2. Tundu Lissu ni mshindani bora iila with a wrong opponent, in a wrong time, in right circumstances. Na maanisha kwamba, Magufuli anafanya yale mambo ambayo kila Mtanzania alikuwa akiyalalamikia na kutamani yafanywe awamu ya 4 ya Kikwete, Kikwete aliitwa majina mengi sana na ilifika mahala watu kusema bora Tz tupate dinteta watu wanyooke haya sasa ndo maana kuna msema "be careful about what you wish for!"
3. Wakati sahihi wa Tundu Lissu ingekuwa ni endapo Magu huu ungekuwa muhula wake wa mwisho nikiwa na maana anaposibility kubwa sana 2025 maana hapo ndipo kiza limipo na sisiem mpaka sasa dira hiyo ni dhaifu mno na yenye contradictions nyingi mno ila sasa do mpaka iyo 2025 kama hakutakuwa na tukio.
4. Magu anachance kubwa sana tiki compare na Lissu ni ratio ya 60% :40% respectively.
Hakuna mseto na shetani , watafiti wamedukua kwamba Lissu anashinda kwa 75%
 
Mungu ni mwema sana si jambo rahisi kabisa alilopitia Lisu. Its not easy at all
Ni kweli kilichompata Lisu si kushabikiw na mtu yeyote mwenyewe utu!

Lakini kamwe hiyo hiwezi kuwa sababu ya yeye kuwa rais!

Yeye aendelee tu kuwa mwanaharakati lakini urais hapati hata iweje
 
Kama wamepitishwa kwa hila inahisiana vipi na kura za wananchi?

Kama Nyerere na wenzake enzi hizo walivyochoka ukoloni, ndivyo na sisi wananchi tulivyo ichoka ccm
Umeichoka ccm? Unafiikiri ccm inaindoka kwa kusema tu nmekuchoka?

Inaindoka kwa mbinu, mbinu ambazo chadem hamna.

Wakati nyie mnashangilia kejeli na mihemuko ya Lisu humu mitandaoni wenzenu ccm wako field wanasaka ushindi. Na matokeo ndio hayo yameanza kutoka wenzenu 22 nyie 0

Haya hiyo ccm pamoja na kuichoka kwako utaoondoa vipi? Na bado kimbunga cha uachguzi mkuu
 
Kusema ukweli hizi figisu wanazofanya serikali hii sijawahi kuzisikia kuwepo nchi yoyote duniani yenye uchaguzi wa vyama vingi. Si Belarus, si Venezuela si South Sudan. Drama hapa zimekuwa nyingi kupitiliza. Naamini mpaka hao watendaji wanaomba dua CCM iondoke madarakani wapate kupumzika na mateso wanayoyapata ya kisaikolojia. Tushaona mengi ya kutosha.

Sote tunajuwa kuwa hakuna binadamu anayetaka kuondoka madarakani. Lakini itakapokuwa katiba inahalalisha uwepo wa vyama vingi basi inatakiwa ukubaliane na uhalisia tu, kupata au kukosa kura. Hata makaburu walipoamuwa kuleta demokrasia Afrika ya Kusini basi waliionesha uaminifu wao juu ya kile wanachokiamini.

Hili linalofanywa na Serikali ya CCM linatudhihirishia kuwa hawamaanishi wanachokisema mdomoni kwa wananchi na dunia kwa ujumla. Ikiwa kitendo halali cha upigaji kura ambacho kinatekelezwa kwa matakwa ya katiba yetu na shindikizo la jumuia za Kimataifa lina figisu hizi tunazoziona, jee hayo maamuzi mengine wanayoyachukuwa kwa utashi wao wenyewe bila ya maamrisho ya sindikizo kutoka kwa.jumuia za kimataifa yanakuwaje? #Sasabasi.
 
Lissu ndiye rais ajaye, Magu ajiandae kukabidhi ikulu kwa amani, asitake mengine
Kama haya?
malisa_gj___CAAflDfgAMe___.jpg
 
Hakuna mseto na shetani , watafiti wamedukua kwamba Lissu anashinda kwa 75%
Naona atashinda kwa kupigiwa kura na wale wafuasi wake milioni 80 uliosema amepata baada ya kuhojiwa hardtalk ya bbc?
Ccm mpaka muda huu ina majimbo 22,alafu bado mnaota ushindi? Mna moyo kweli nyie
 
Naona atashinda kwa kupigiwa kura na wale wafuasi wake milioni 80 uliosema amepata baada ya kuhojiwa hardtalk ya bbc?
Ccm mpaka muda huu ina majimbo 22,alafu bado mnaota ushindi? Mna moyo kweli nyie
Hakuna kupita bila kupingwa mkuu , iweke hii kichwani mwako , mwambie Majaliwa ajiandae kwa kampeni , kuteka wagombea si suluhisho
 
Asalam aleykum

Tukiwa tunashuhudia mtanange wa vyama vya siasa katika mchakato wa uchaguzi unaotarajiwa hapo badae October 28 ni vyema tukajadili kidogo Lissu anapata nguvu hii wapi na kutoka kwa nani.

Sote nchini na nje ya nchi tumeshuhudia imani, mapenzi, mvuto na baraka alizonazo Tundu Lissu huku tukishangazwa na jinsi anvyoruka viunzi magogo na mashimo kutoka kwa maadui wake.

Si jambo la kawaida hata kidogo, ni lazima tujiulizw hii ngivu inatoka kwa Lissu kama Lissu au kuna extra power( mysteious)
There must be a mystic power from God, a Devine power.

Walimpiga risasi 16 hakufa, wakamnyang'anya stahili zake kama mbunge za matibabu hakufa, wakamvua ubunge akasavaivu, wakasema hataurudi nchini huyo mlemavu akarudi, wakasema akirudi tu anapigwa nyingine na kwamba mwaka huu hawatakosa shabaha, mara ooh akija atafikia Segerea, huku wakiseama na kujiapiza atanyang'anywa passport, atafikia mahakamani, akaja mchana kweupe.

Alipofika wakasema chama chake hakitamteua Mbowe kashakula pesa za Nyarandu na Membe. Akateuliwa, wakasema hata pata fomu amefanya kampeni mapema fomu akapata, wakaja na single nyingine eti hajahakiki fomu zake.
Na leo Ameteuliwa.

Hivi vigingi vyote kuvivuka sio nguvu ya Lissu its a devine power.

Hii imenikumbusha kisa kimoja cha wana wa Israel wakitoka Misri wakiongoza na Yuda, Simion, kalebo.

Yuda alipofika nchini kannai aliwakuta wafilisti akapambana nao huku wakiwa na siraha kali moala magari ya kutembea wakati huo hakuna teknolojia hiyo dunia nzima ispokiwa kwa wafilisti. Lakini Yuda huyo ktk nchi ile yerusalem aliwafurumusha wanajeshi wapatao 1000 kwa siku moja na kuwaua wote kwa kutumia mfupa wa taya la Ngamia.

Baadae akazaliwa kiumbe mwenye Agano( nadhili ya Mungu) naye ni Samson aliweza kuua simba kwa mikono yake. Na kuwafunga mbweha zIdi ya elfu moja mkia kwa mkia kwa kutumia mkono wake

Amakweli Tundu Lissu ameua simba kwa mkono pale NEC.
Ni wa kawaida sana
Kama ni fomu hata Hashimu Ringer anechukuwa!
Kwamba hatagombea, kasome Katina ya nchi utaelewa!
Risasi 16!
Labda alikatwa na vipande vya chupa, hakuna risasi ya kupinda, upigwe kushoto, ipinde na ipige kulia!
Muulizeni dereva wake, atakwambia kuwa move iligoma!
Any way , tukutane 28 oct
 
Ni wa kawaida sana
Kama ni fomu hata Hashimu Ringer anechukuwa!
Kwamba hatagombea, kasome Katina ya nchi utaelewa!
Risasi 16!
Labda alikatwa na vipande vya chupa, hakuna risasi ya kupinda, upigwe kushoto, ipinde na ipige kulia!
Muulizeni dereva wake, atakwambia kuwa move iligoma!
Any way , tukutane 28 oct
umeishia darasa la ngapi ?
 
1. CHAKU SIKITISHA ZAIDI HAWEZI KUWA RAISI WA TANZANIA LABDA MAKAMU ENDAPO TUTALAZIMIKA KUINGIA MSETO.
2. Tundu Lissu ni mshindani bora iila with a wrong opponent, in a wrong time, in right circumstances. Na maanisha kwamba, Magufuli anafanya yale mambo ambayo kila Mtanzania alikuwa akiyalalamikia na kutamani yafanywe awamu ya 4 ya Kikwete, Kikwete aliitwa majina mengi sana na ilifika mahala watu kusema bora Tz tupate dinteta watu wanyooke haya sasa ndo maana kuna msema "be careful about what you wish for!"
3. Wakati sahihi wa Tundu Lissu ingekuwa ni endapo Magu huu ungekuwa muhula wake wa mwisho nikiwa na maana anaposibility kubwa sana 2025 maana hapo ndipo kiza limipo na sisiem mpaka sasa dira hiyo ni dhaifu mno na yenye contradictions nyingi mno ila sasa do mpaka iyo 2025 kama hakutakuwa na tukio.
4. Magu anachance kubwa sana tiki compare na Lissu ni ratio ya 60% :40% respectively.
Mkuu hakuna mseto wa nini! Amini nakwambia Lisu hawezi kuvuka 20%ya kura zote.
Kwa wabunge ndio usiseme Lisu hafikishi hata robo.
. Yani hapa wabunge wa Lisu ni
1. Lema
2. Msigwa
3. Sugu
4. Mdee
5. Wenje
6. Heche

Kwingine kote ni tia maji tia maji. Tena hata hao 6 ni bahati tu kushinda kwao.
Zanzibar ndio kabisa hawapati mbunge hata mmoja.
Haya huo mseto unatokea wapi.?
 
Mkuu toa lema hapo hatoboi kabisaa arusha mjini..... Ingia tu kwenye page yake ya facebook utaona watu wanavyompinga waziwazi... Lema ni mzigo kwa arusha mjini....
Mkuu hakuna mseto wa nini! Amini nakwambia Lisu hawezi kuvuka 20%ya kura zote.
Kwa wabunge ndio usiseme Lisu hafikishi hata robo.
. Yani hapa wabunge wa Lisu ni
1. Lema
2. Msigwa
3. Sugu
4. Mdee
5. Wenje
6. Heche

Kwingine kote ni tia maji tia maji. Tena hata hao 6 ni bahati tu kushinda kwao.
Zanzibar ndio kabisa hawapati mbunge hata mmoja.
Haya huo mseto unatokea wapi.?
 
Back
Top Bottom