Hii imekuwa too much sasa, hawa mabinti wa saint francis wanaifedhehesha Necta 😂
Division 1 ya saba kwao imekuwa kama kumpa samaka mtihani wa kuogelea, kila mwanafunzi anaibonda !!
Shule imesha master mbinu ya kuwafanya wanafunzi wote wapate division 1 ya saba.
Nashauri kuongezwe division za ziada kama 1 ya 5 na 1 ya sita maalum kwa hizi shule,
A za kawaida zilete 1 ya 7, A za kuanzia 90 zilete 1 ya 6, A za kuanzia 95 ziwe 1 ya 5
Division 1 ya saba kwao imekuwa kama kumpa samaka mtihani wa kuogelea, kila mwanafunzi anaibonda !!
Shule imesha master mbinu ya kuwafanya wanafunzi wote wapate division 1 ya saba.
Nashauri kuongezwe division za ziada kama 1 ya 5 na 1 ya sita maalum kwa hizi shule,
A za kawaida zilete 1 ya 7, A za kuanzia 90 zilete 1 ya 6, A za kuanzia 95 ziwe 1 ya 5