Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasoma vizuriHii imekuwa too much sasa, hawa mabinti wa saint francis wanaifedhehesha Necta 😂
Division 1 ya saba kwao imekuwa kama kumpa samaka mtihani wa kuogelea, kila mwanafunzi anaibonda !!
Shule imesha master mbinu ya kuwafanya wanafunzi wote wapate division 1 ya saba.
Nashauri kuongezwe division za ziada kama 1 ya 5 na 1 ya sita maalum kwa hizi shule,
A za kawaida zilete 1 ya 7, A za kuanzia 90 zilete 1 ya 6, A za kuanzia 95 ziwe 1 ya 5
View attachment 3192124
ndiyo mkuuMkuu,ulikula 4?
Ulirisit?ndiyo mkuu
Hatari sana, sema huku kata mambo ya lugha gongana ndo balaa zaidiShule kama kigogo secondary kuna mitoto imekula mazero
nazingua tu mkuu,nilikuwa na appreciate matokeo ya madogo.Ulirisit?
Walaumiwe Waislamu na wanasiasaOne iliheshimika mwisho mwaka 2012.
Ukipata hata div two wewe ni mwamba, baada ya hapo tulianza kushuhudia maigizo kibao, mara div five, sijui distinction na ngonjera kibao.
Sio top ten ni top three ama top two kabisaHiyo shule miaka mingi wapo vizuri kwenye matokeo ya kidato Cha nne na Cha pili na kipindi Cha nyuma walivyokuwa wanatangaza shule kumi Bora Kitaifa ,shule hiyo haijawahi kukoseka kwenye top ten .
Hii imekuwa too much sasa, hawa mabinti wa saint francis wanaifedhehesha Necta