Ngoja tuoneeLipia tangazo
Wengi watoto wa kishua, connection zipoNawaonea huruma hawa watoto. Je wakimaliza shule, watapata ajira?
Shule nyingi za kata ni majengo, bado hazina hadhi ya kuitwa shule.We mzee unawa,a zile Div One za Ihungo, Bihawana, Msalato, Wereweru, Moshi tech, Kibaha nk ile miaka ya 80 hadi 90 zilivyokuwa ngumu.
Mambo yamebadilika, lugha ya kiingekeza siyo kikwazo tena kwa vijana wetu, elimu hasa ya kulipia ipo vizuri. ukitaka kuona ugumu wa Div One ya 7 chungulia shule za kata.
Kwa hivyo hiyo 7 - ibaki vile vile.
Kwani hio point 7 O-level inapatikanaje hadi useme iwe point 5 au 6?Hii imekuwa too much sasa, hawa mabinti wa saint francis wanaifedhehesha Necta π
Division 1 ya saba kwao imekuwa kama kumpa samaka mtihani wa kuogelea, kila mwanafunzi anaibonda !!
Shule imesha master mbinu ya kuwafanya wanafunzi wote wapate division 1 ya saba.
Nashauri kuongezwe division za ziada kama 1 ya 5 na 1 ya sita maalum kwa hizi shule
View attachment 3192124
Muache taahira huyo....Kwani hio point 7 O-level inapatikanaje hadi useme iwe point 5 au 6?
Vipi ukimuangalia mtoto wa sister wako? Anakupa mashaka?Kuna shule iko kilwa anasoma mtoto wa sister angu wallah nmeshangaa wahitimu wote wana - A
yani kwamba hamna kilaza
HAO WAKIENDA UNIVERSITY WANAKULA C SANA TU.Hii imekuwa too much sasa, hawa mabinti wa saint francis wanaifedhehesha Necta π
Division 1 ya saba kwao imekuwa kama kumpa samaka mtihani wa kuogelea, kila mwanafunzi anaibonda !!
Shule imesha master mbinu ya kuwafanya wanafunzi wote wapate division 1 ya saba.
Nashauri kuongezwe division za ziada kama 1 ya 5 na 1 ya sita maalum kwa hizi shule
View attachment 3192124
Ndio ananipa mashaka sio siri wala sio kichwa! Hapo ndio nmegundua wanasemaga hizi shule wanafaulisha kimchongoVipi ukimuangalia mtoto wa sister wako? Anakupa mashaka?
KusoWe mzee unawa,a zile Div One za Ihungo, Bihawana, Msalato, Wereweru, Moshi tech, Kibaha nk ile miaka ya 80 hadi 90 zilivyokuwa ngumu.
Mambo yamebadilika, lugha ya kiingekeza siyo kikwazo tena kwa vijana wetu, elimu hasa ya kulipia ipo vizuri. ukitaka kuona ugumu wa Div One ya 7 chungulia shule za kata.
Kwa hivyo hiyo 7 - ibaki vile vile.
Nina rafiki yangu ni Lecturer, akinisimulia vituko huko chuoni nabaki kusema Mungu atunusuru. Vinaanzia huko chini.Ndio ananipa mashaka sio siri wala sio kichwa! Hapo ndio nmegundua wanasemaga hizi shule wanafaulisha kimchongo