John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Dunia Ina MamboThe video
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia Ina MamboThe video
Yuko fiti jmaaa ni mtu wa busara sana ana miradi yake kadhaa hana shida huyo mtu alikuwa waziri miaka yote ya JK na ni binamu yake huyo walishavuna mafao yao.Mbona kawambwa alikuwa mpole vile akifungwa Pingu na mgambo.jamani nikajua amefulia
Upo sahihi ila jamaa anamadharau sana mchumia majanga hula na ww kwao wacha kimrambe sasa.Natamani sana kungekuwa na video ya kumatwa huyo mpumbavu Wembe. Jamaa kakosa busara na utu kabisa.
Mbali ya wadhifa waliowahi kuwa nao hao wazee, swala la umri wao tu lilitosha kutumia busara.
Yani mpaka mimi nikahisi tuhuma ninza kweli ila jamaa akawa anachezda simu tuu hana presha,daah.Mbona kawambwa alikuwa mpole vile akifungwa Pingu na mgambo.jamani nikajua amefulia
Atatoka kwenye video akiomba radhiUpo sahihi ila jamaa anamadharau sana mchumia majanga hula na ww kwao wacha kimrambe sasa.
Hai vijana walikuwa hawajui wanacheza na moto.Mbona kawambwa alikuwa mpole vile akifungwa Pingu na mgambo.jamani nikajua amefulia
Huku amepiga magoti analia teh tehAtatoka kwenye video akiomba radhi
HekimaMbona kawambwa alikuwa mpole vile akifungwa Pingu na mgambo.jamani nikajua amefulia
Wangemfilisi tu diwani maana anaonekana kuvuka mipaka sasa. Maana kuwa na mgodi wa mchanga tu kaanza kugombana na wastaafu.Diwani mstaafu wa Kiromo anayeitwa Hassan Wembe, ambaye hana historia nzuri sana, amefanya jaribio la kihuni na kuudhi kwa kumzushia tuhuma za uongo aliyekuwa waziri Awamu ya Nne, mh. Shukuru Kawambwa.
Clip iliyorushwa mitandsoni na kusambaa kama moto wa nyika, ilikuwa ikimtuhumu ati Kawambwa ni dalali wa viwanja!
Imejulikana kuwa sababu ya mzozo ni uamuzi wa wanakijiji wa Kitopeni kuamua kufunga barabara yao kutokana na malori ya mchanga kuiharibu kabisa na kufan gari ndogo za wananchi kushindwa kupita.
Katika clip hiyo Diwani Hassan Wembe alidiriki kumvaa mwilini Kawambwa ambaye hakuonekana kubishana wala kurudisha maneno ya kuudhi ya mhuni Hassan Wembe.
Kwa tunaomfahamu Kawambwa toka alipokuwa wizarani (Miundombinu Ujenzi) huyu jamaa ni maji ya mtungi, hana presha au munkari.
Pengine kwa vile alikuwa mwalimu UDSM-Uhandisi.
Habari zilizopatikana ni kwamba katika hilo valangati la Diwani mstaafu Hassan Bwana alikuwepo jirani ya Kawambwa ambaye ni DSO mstaafu (Mkuu wa Usalama wilaya).
Na habari zinatonya kuwa huyu Wembe na grupu lake wamelala lupango.
Kesho nampelekea chai nione kama kweli yuko lupangowasiishie kulala lupango wajingasana
Tena Professor mhandisi na mhadhiri mstaafu kadhalilisha sio tu uzee wa siombwa bali hadhira nzima ya wasomi nchini,Wangemfilisi tu diwani maana anaonekana kuvuka mipaka sasa. Maana kuwa na mgodi wa mchanga tu kaanza kugombana na wastaafu.
Je akiwa na migodi ya madini si atatuulia hata viongozi wengine!
Pesa kidogo kashaanza kuamrisha migambo wampige pingu Waziri mstaafu 😅 daaah.
Sure!Kesho nampelekea chai nione kama kweli yuko lupango
Tena Professor mhandisi na mhadhiri mstaafu kadhalilisha sio tu uzee wa siombwa bali hadhira nzima ya wasomi nchini,
Kwahili tunaandaa mhadhara aalikwe kutoa somo la social ethics, angelianza kujitapa ooh mie utanitambua wangeweza kumdhuruSure!
Bora Mheshimiwa angekuwa labda ana display sifa flani ambazo si nzuri, labda angekuwa anatukana au anajiproud au anatoa vitisho but
Kaonesha usomi wake.
Tuna cha kujifunza pia.
Ila Yule jamaa ana mkwara.eti anamwambia mgambo afungue kamba kawambwa hahaaHekima
Hakika.Kwahili tunaandaa mhadhara aalikwe kutoa somo la social ethics, angelianza kujitapa ooh mie utanitambua wangeweza kumdhuru
Baba WA watu katulia kidogo mgambo amfunge kamba ahaaKwahili tunaandaa mhadhara aalikwe kutoa somo la social ethics, angelianza kujitapa ooh mie utanitambua wangeweza kumdhuru
Dr. Kawambwa amejaliwa Hekima na Busara.Dkt Kawambwa ana hekima sana. Yaani hakika watanzania tunampenda sana.
Dalali mwizi na mchawi ni huyo mwenyekiti wa hiyo halmashauri hapo, anaitwa nani sijui yule darasa la tatu, mpiga dili kashiriki dhulma nyingi za viwanja kimoja kikiwa cha rafiki yangu, USINGA sijui chinga.Diwani mstaafu wa Kiromo anayeitwa Hassan Wembe, ambaye hana historia nzuri sana, amefanya jaribio la kihuni na kuudhi kwa kumzushia tuhuma za uongo aliyekuwa waziri Awamu ya Nne, mh. Shukuru Kawambwa.
Clip iliyorushwa mitandsoni na kusambaa kama moto wa nyika, ilikuwa ikimtuhumu ati Kawambwa ni dalali wa viwanja!
Imejulikana kuwa sababu ya mzozo ni uamuzi wa wanakijiji wa Kitopeni kuamua kufunga barabara yao kutokana na malori ya mchanga kuiharibu kabisa na kufan gari ndogo za wananchi kushindwa kupita.
Katika clip hiyo Diwani Hassan Wembe alidiriki kumvaa mwilini Kawambwa ambaye hakuonekana kubishana wala kurudisha maneno ya kuudhi ya mhuni Hassan Wembe.
Kwa tunaomfahamu Kawambwa toka alipokuwa wizarani (Miundombinu Ujenzi) huyu jamaa ni maji ya mtungi, hana presha au munkari.
Pengine kwa vile alikuwa mwalimu UDSM-Uhandisi.
Habari zilizopatikana ni kwamba katika hilo valangati la Diwani mstaafu Hassan Bwana alikuwepo jirani ya Kawambwa ambaye ni DSO mstaafu (Mkuu wa Usalama wilaya).
Na habari zinatonya kuwa huyu Wembe na grupu lake wamelala lupango.