Diwani ashindwa jaribio la kumchafua kwa makusudi Waziri Mstaafu Kawambwa huko Bagamoyo

Diwani ashindwa jaribio la kumchafua kwa makusudi Waziri Mstaafu Kawambwa huko Bagamoyo

Mbona kawambwa alikuwa mpole vile akifungwa Pingu na mgambo.jamani nikajua amefulia
Yuko fiti jmaaa ni mtu wa busara sana ana miradi yake kadhaa hana shida huyo mtu alikuwa waziri miaka yote ya JK na ni binamu yake huyo walishavuna mafao yao.

Unajua ukiwa na power huwezi kufreak out kama huyo Wembe sijui nani. Alitulia tu anamuangalia. Cheki video nimetuma akielezea ishu nzima
 
Diwani mstaafu wa Kiromo anayeitwa Hassan Wembe, ambaye hana historia nzuri sana, amefanya jaribio la kihuni na kuudhi kwa kumzushia tuhuma za uongo aliyekuwa waziri Awamu ya Nne, mh. Shukuru Kawambwa.

Clip iliyorushwa mitandsoni na kusambaa kama moto wa nyika, ilikuwa ikimtuhumu ati Kawambwa ni dalali wa viwanja!

Imejulikana kuwa sababu ya mzozo ni uamuzi wa wanakijiji wa Kitopeni kuamua kufunga barabara yao kutokana na malori ya mchanga kuiharibu kabisa na kufan gari ndogo za wananchi kushindwa kupita.

Katika clip hiyo Diwani Hassan Wembe alidiriki kumvaa mwilini Kawambwa ambaye hakuonekana kubishana wala kurudisha maneno ya kuudhi ya mhuni Hassan Wembe.

Kwa tunaomfahamu Kawambwa toka alipokuwa wizarani (Miundombinu Ujenzi) huyu jamaa ni maji ya mtungi, hana presha au munkari.
Pengine kwa vile alikuwa mwalimu UDSM-Uhandisi.

Habari zilizopatikana ni kwamba katika hilo valangati la Diwani mstaafu Hassan Bwana alikuwepo jirani ya Kawambwa ambaye ni DSO mstaafu (Mkuu wa Usalama wilaya).

Na habari zinatonya kuwa huyu Wembe na grupu lake wamelala lupango.
Wangemfilisi tu diwani maana anaonekana kuvuka mipaka sasa. Maana kuwa na mgodi wa mchanga tu kaanza kugombana na wastaafu.

Je akiwa na migodi ya madini si atatuulia hata viongozi wengine!

Pesa kidogo kashaanza kuamrisha migambo wampige pingu Waziri mstaafu 😅 daaah.
 
wasiishie kulala lupango wajingasana
Kesho nampelekea chai nione kama kweli yuko lupango
Wangemfilisi tu diwani maana anaonekana kuvuka mipaka sasa. Maana kuwa na mgodi wa mchanga tu kaanza kugombana na wastaafu.

Je akiwa na migodi ya madini si atatuulia hata viongozi wengine!

Pesa kidogo kashaanza kuamrisha migambo wampige pingu Waziri mstaafu 😅 daaah.
Tena Professor mhandisi na mhadhiri mstaafu kadhalilisha sio tu uzee wa siombwa bali hadhira nzima ya wasomi nchini,
 
Kesho nampelekea chai nione kama kweli yuko lupango

Tena Professor mhandisi na mhadhiri mstaafu kadhalilisha sio tu uzee wa siombwa bali hadhira nzima ya wasomi nchini,
Sure!
Bora Mheshimiwa angekuwa labda ana display sifa flani ambazo si nzuri, labda angekuwa anatukana au anajiproud au anatoa vitisho but
Kaonesha usomi wake.

Tuna cha kujifunza pia.
 
Diwani mstaafu wa Kiromo anayeitwa Hassan Wembe, ambaye hana historia nzuri sana, amefanya jaribio la kihuni na kuudhi kwa kumzushia tuhuma za uongo aliyekuwa waziri Awamu ya Nne, mh. Shukuru Kawambwa.

Clip iliyorushwa mitandsoni na kusambaa kama moto wa nyika, ilikuwa ikimtuhumu ati Kawambwa ni dalali wa viwanja!

Imejulikana kuwa sababu ya mzozo ni uamuzi wa wanakijiji wa Kitopeni kuamua kufunga barabara yao kutokana na malori ya mchanga kuiharibu kabisa na kufan gari ndogo za wananchi kushindwa kupita.

Katika clip hiyo Diwani Hassan Wembe alidiriki kumvaa mwilini Kawambwa ambaye hakuonekana kubishana wala kurudisha maneno ya kuudhi ya mhuni Hassan Wembe.

Kwa tunaomfahamu Kawambwa toka alipokuwa wizarani (Miundombinu Ujenzi) huyu jamaa ni maji ya mtungi, hana presha au munkari.
Pengine kwa vile alikuwa mwalimu UDSM-Uhandisi.

Habari zilizopatikana ni kwamba katika hilo valangati la Diwani mstaafu Hassan Bwana alikuwepo jirani ya Kawambwa ambaye ni DSO mstaafu (Mkuu wa Usalama wilaya).

Na habari zinatonya kuwa huyu Wembe na grupu lake wamelala lupango.
Dalali mwizi na mchawi ni huyo mwenyekiti wa hiyo halmashauri hapo, anaitwa nani sijui yule darasa la tatu, mpiga dili kashiriki dhulma nyingi za viwanja kimoja kikiwa cha rafiki yangu, USINGA sijui chinga.
 
Back
Top Bottom