Diwani ashindwa jaribio la kumchafua kwa makusudi Waziri Mstaafu Kawambwa huko Bagamoyo

Diwani ashindwa jaribio la kumchafua kwa makusudi Waziri Mstaafu Kawambwa huko Bagamoyo

When you know Who you are and what power you have! You fool them for few hours ili wakiingia kwenye 18 zako . Wanakuja jiona ni Wapumbavu mara elfu🤣🤣. Na wanajua kabisa ndani ya mioyo yao kuwa adhabu unayowapa wanastaili na awatakiwi kulalamika.
Yaan ukisikia ku fetch the consequences ndio hapo hii nahau inapo timia na kupata uzito
"" mchuma janga hula na wakwao"""
 
tunahitaji kuwa updated, huyu kijana ameshafikishwa mahakamani au bado. usipofunzwa na wazazi ulimwengu una kazi kubwa sana kukufunza.
Unakamatwa 25 April-26 sikukuu..Weekend..Jumatatu Kesi yako aijapangiwa Mpelelezi...J4 Mei Mosi..... yupo Mahabusu pamoja na wavuta bangi ,Vibaka na wanya gongo.
 
Back
Top Bottom