Diwani ashindwa jaribio la kumchafua kwa makusudi Waziri Mstaafu Kawambwa huko Bagamoyo

Diwani ashindwa jaribio la kumchafua kwa makusudi Waziri Mstaafu Kawambwa huko Bagamoyo

Diwani mstaafu wa Kiromo anayeitwa Hassan Wembe, ambaye hana historia nzuri sana, amefanya jaribio la kihuni na kuudhi kwa kumzushia tuhuma za uongo aliyekuwa waziri Awamu ya Nne, mh. Shukuru Kawambwa.

Clip iliyorushwa mitandsoni na kusambaa kama moto wa nyika, ilikuwa ikimtuhumu ati Kawambwa ni dalali wa viwanja!

Imejulikana kuwa sababu ya mzozo ni uamuzi wa wanakijiji wa Kitopeni kuamua kufunga barabara yao kutokana na malori ya mchanga kuiharibu kabisa na kufan gari ndogo za wananchi kushindwa kupita.

Katika clip hiyo Diwani Hassan Wembe alidiriki kumvaa mwilini Kawambwa ambaye hakuonekana kubishana wala kurudisha maneno ya kuudhi ya mhuni Hassan Wembe.

Kwa tunaomfahamu Kawambwa toka alipokuwa wizarani (Miundombinu Ujenzi) huyu jamaa ni maji ya mtungi, hana presha au munkari.
Pengine kwa vile alikuwa mwalimu UDSM-Uhandisi.

Habari zilizopatikana ni kwamba katika hilo valangati la Diwani mstaafu Hassan Bwana alikuwepo jirani ya Kawambwa ambaye ni DSO mstaafu (Mkuu wa Usalama wilaya).

Na habari zinatonya kuwa huyu Wembe na grupu lake wamelala lupango.

Dr. Kawambwa ni mtu mpole sana na mwangalifu. Pale FOE alikuwa kitengo cha IPI enzi hizo. Hana makuu na nilishituka sana niliposikia amekuwa dalali. Huyo diwani amekosa adabu kabisa.
 
Huyo mwehu atajuta kujitutumua hivi unawezaje kumdhalilisha mtu kama Dr. Kawambwa? Mtu ni binamu wa JK halafu alikuwa na power kubwa sana enzi za utawala wa JK unadhani bado hana connection hata kwenye chama chake ambacho ndio kimeshika dola?

Ameenda kumharass yule DSO pale ndio ameingia choo cha kike ndio maana hii ishu DSO wa bagamoyo ndio ameishikia bango mwenyewe jamaa atafurahi eti oooh mimi kijana so whaat? Ukiwa kijana ndio ukose nidhamu kwa wakubwa zako?

Aombe Mungu Dr Kawambwa amhurumie asikomae nae otherwise ana kesi ya kudhalilisha na kujeruhi maana amempiga yule mzee kamsukumasukuma na kuwafunga kamba kama waahalifu na kuwatuhumu ni waharifu. Atafurahi.
Mawazo yako yamejaa u-dola. Mimi sijui mgogoro wao ni nani mwenye kosa, lakini nadhani kumdhalilisha mtu yeyote siyo vizuri (bila kujali cheo au alikuwa nani). DSO wa Bagamoyo kasikilia bango kwa sababu aliyedhalilishwa ni DSO, ingekuwa ni mtu wa kawaida je, ingekuwaje?
 
Wana kesi ya kujibu maana alimtishia kumuua Kawambwa.

Halafu huyo jamaa boya sana eti yule DSO anamuitwa wewe mtu wa protokali hahaha ila namhurumia he is a deadman walking kwa sababu hahaha aliyempiga kofi Marehemu A. H. Mwinyi hahaha cheza na wastaafu.

Huyo jamaa nimemuona kwenye clip ni mjinga sana tena jinga mno. Huwezi kuwa na jazba za kijinga namna ile
Kwahiyo rais mstaafu unamlinganisha na DSO?
 
Diwani mstaafu wa Kiromo anayeitwa Hassan Wembe, ambaye hana historia nzuri sana, amefanya jaribio la kihuni na kuudhi kwa kumzushia tuhuma za uongo aliyekuwa waziri Awamu ya Nne, mh. Shukuru Kawambwa.

Clip iliyorushwa mitandsoni na kusambaa kama moto wa nyika, ilikuwa ikimtuhumu ati Kawambwa ni dalali wa viwanja!

Imejulikana kuwa sababu ya mzozo ni uamuzi wa wanakijiji wa Kitopeni kuamua kufunga barabara yao kutokana na malori ya mchanga kuiharibu kabisa na kufan gari ndogo za wananchi kushindwa kupita.

Katika clip hiyo Diwani Hassan Wembe alidiriki kumvaa mwilini Kawambwa ambaye hakuonekana kubishana wala kurudisha maneno ya kuudhi ya mhuni Hassan Wembe.

Kwa tunaomfahamu Kawambwa toka alipokuwa wizarani (Miundombinu Ujenzi) huyu jamaa ni maji ya mtungi, hana presha au munkari.
Pengine kwa vile alikuwa mwalimu UDSM-Uhandisi.

Habari zilizopatikana ni kwamba katika hilo valangati la Diwani mstaafu Hassan Bwana alikuwepo jirani ya Kawambwa ambaye ni DSO mstaafu (Mkuu wa Usalama wilaya).

Na habari zinatonya kuwa huyu Wembe na grupu lake wamelala lupango.
Ukweli, migogoro mingi ya ardhi inasababiswa na wastaafu njiti, kule magu kuna dc mstaafu kaenda kujambazia shamba la kikongwe, katengeneza na hati kapelekwa hadi kwa waziri slaa kakomaa tu, tunamsubiri site tumalizane nae, huyu diwani na beki wa mlandege nae tunamsubiri atoke jela atueleze vizuri kisa cha kumfunga prof wigi mikononi,
 
dah, inasikitisha sana. huyo kijana hajakamatwa hadi sasa? hivi ana power gani ya kukamata mtu kwa namna anavyotaka kufanya? hao ndio vijana mnawapa udiwani kumbe wahuni tu. afundishwe iwe shule kwa wengine hata kwao hana wakubwa? kwanini asingeongea kwa ustaarabu kwa hoja walau. serikali ichukue hatua.
 
dah, inasikitisha sana. huyo kijana hajakamatwa hadi sasa? hivi ana power gani ya kukamata mtu kwa namna anavyotaka kufanya? hao ndio vijana mnawapa udiwani kumbe wahuni tu. afundishwe iwe shule kwa wengine hata kwao hana wakubwa? kwanini asingeongea kwa ustaarabu kwa hoja walau. serikali ichukue hatua.
Yuko ndani na kesho nampelekea chai kuhakikisha hatoki hadi j3 atakapopandishwa kizimbani
 
Yuko ndani na kesho nampelekea chai kuhakikisha hatoki hadi j3 atakapopandishwa kizimbani
unajua hiyo ni common assault kabisa, pamoja na kosa lingine wamtafutie afundishwe naona wazazi wake hawakufanikiwa kumfundisha. hivi kweli unamdhalilisha mtu mzima vile? hata kama asingekuwa waziri.
 
Waziri mstaafu Huwa hapewi bodyguard?

Huyo kijana angeweza kumwiba kawambwa na kutokomea nae kusikojulikana!!

Anyway,

Igizo Hilo limefanikiwa, naamini lengo ni kupeleka taarifa juu Ili Kawambwa naye aje mezani " kula", maana amesahaulika.
 
Diwani mstaafu wa Kiromo anayeitwa Hassan Wembe, ambaye hana historia nzuri sana, amefanya jaribio la kihuni na kuudhi kwa kumzushia tuhuma za uongo aliyekuwa waziri Awamu ya Nne, mh. Shukuru Kawambwa.

Clip iliyorushwa mitandsoni na kusambaa kama moto wa nyika, ilikuwa ikimtuhumu ati Kawambwa ni dalali wa viwanja!

Imejulikana kuwa sababu ya mzozo ni uamuzi wa wanakijiji wa Kitopeni kuamua kufunga barabara yao kutokana na malori ya mchanga kuiharibu kabisa na kufan gari ndogo za wananchi kushindwa kupita.

Katika clip hiyo Diwani Hassan Wembe alidiriki kumvaa mwilini Kawambwa ambaye hakuonekana kubishana wala kurudisha maneno ya kuudhi ya mhuni Hassan Wembe.

Kwa tunaomfahamu Kawambwa toka alipokuwa wizarani (Miundombinu Ujenzi) huyu jamaa ni maji ya mtungi, hana presha au munkari.
Pengine kwa vile alikuwa mwalimu UDSM-Uhandisi.

Habari zilizopatikana ni kwamba katika hilo valangati la Diwani mstaafu Hassan Bwana alikuwepo jirani ya Kawambwa ambaye ni DSO mstaafu (Mkuu wa Usalama wilaya).

Na habari zinatonya kuwa huyu Wembe na grupu lake wamelala lupango.
Uvccm ni genge la wahuni na wengine ndiyo hawa usiku wanageuka kuwa panyaroad
 
Dunia Ina Mambo
Nilipoona ile clip nilijiuliza maswali sana kwani wengine tunmebahatika kumfahamu mh Kawambwa akiwa waziri na Mbunge. Nimeshawahi kukutana naye ni mzee hekima na busara sana.Mtaratibu msikivu na hana mabishano. Huyu dogo alichofanya ni upuuzi wa hali ya juu kwa kitendo cha kumdhalilisha Kiongozi. Kwani kulikuwa na haja gani ya kurekodi swali la kwanza? Pili kuita kama anamuita mwanae eti wewe Kawambwa. Tatu kumtishia sijui pingu kwani ni jambazi au mzee alimtishia nini mpaka kutaka mfunga? Pingu unamfunga mtu mkorofi aliyekaidi sasa mzee mwenyewe ni mpole na hakuwa na mabishano yoyote. Nadhani iwe fundisho kwa vijana wenzetu wasiojielewa na kuheshimu wazee wetu hasa hawa waliotumikia nchi.
 
Back
Top Bottom