Diwani ashindwa jaribio la kumchafua kwa makusudi Waziri Mstaafu Kawambwa huko Bagamoyo

Ni wajinga sana,, mtu alikuwa lecture udism, kawa waziri wizara mbali mbali... Eti Leo umpakazie udalali na kutaka kumdhalilisha... Hako kadiwani kalitaka kutembelea upepo wa social media kaonewe huruma.... Haya maji yamemwagikia upande wake na hayazoleki
 
tunahitaji kuwa updated, huyu kijana ameshafikishwa mahakamani au bado. usipofunzwa na wazazi ulimwengu una kazi kubwa sana kukufunza.
 
Hako kadiwani uchwara sasa dhamana yske imefutwa na kanachezea weekend ya lupango.
 
Mkuu ni kweli tukio lililotokea limetushangaza sana wakazi wa kitopeni Kwa Mashaka huyu diwani ametukosea sana wananchi pamoja na wazee wetu Mimi binafsi nilikuepo kwenye kikao Cha uamuzi wa kufunga barabara ila kilichotokea Diwan aligushi mutsari na Saini za wanakijiji kuhalalisha machimbo ambayo yapo MITA mia tatu kutoka ilipo barabara ya bagamoyo road na kilometer mbili kutoka ilipo stend kuu ya bagamoyo unaweza kuona ni jinsi Gani shukuru kawambwa pamoja na dso walivyokua wazalendo nafikiri Kuna Cha kujifunza kwao
 
Lwa kweli kitendo kile cha Diwani Wembe kimewakera watu wengi.
Wengine wamediriki kusema kuwa huyo Wembe angewaingilia mashamba yao wakiwa wakamilifu kisilaha, wanasema Wembe angekula bullet siku hiyo.
 
Naomba achapwe viboko asbh na jioni kwa siku kadhaa iwe ni ishara ya kumkumbusha utovu wa nidhamu alioufanya kwa wazee. Viboko kumi na mbili asbh viboko kumi na mbili kabla hajalala.
 
Unaweza ukawa na haki, ila namna unavyo address issue unapoteza haki yenyewe. Sheria ichukue mkondo wake tu ili iwe fundisho kwa watu wajinga kama huyo jamaa.

N.B: Huyu jamaa hawakilishi vijana wenye nguvu nchini.
Anawakilisha uvccm aka panyaroad
 
Unaweza ukawa na haki, ila namna unavyo address issue unapoteza haki yenyewe. Sheria ichukue mkondo wake tu ili iwe fundisho kwa watu wajinga kama huyo jamaa.

N.B: Huyu jamaa hawakilishi vijana wenye nguvu nchini.
Anawakilisha uvccm aka panyaroad
 
Sana yaani Kawambwa hakika nikiwa na tukio nitamkaribisha jamani aje aongee hekima. Yaani ana busara kama Dkt Kikwete. Mungu ambariki sana.
Kikwete ana busara?????? Basi nyie kwenu mmechoka sana......
 
Kwahili tunaandaa mhadhara aalikwe kutoa somo la social ethics, angelianza kujitapa ooh mie utanitambua wangeweza kumdhuru
Angelikuwa ni Ditopile Mwinshehe Ukiwaona wa Mzuzuri angewamaliza kwa risasi wale! Wana bahati kweli kweli maana alikuwa moto mara moja hakuwa subra!
 
Kwa tuliowahi kupitia Ualimu huko vyuoni Kuna course inaitwa educational psychology

Kuna jinsi ya kudeal na MOB psychology so kawambwa alitumia taaluma yake ya ukufunzi 😊 ku deal na Hilo lijamaa lipuuzi
JPM hakusoma hiyo kozi au,hapo ni hulka ya mtu,JK na Jawambwa ni ndugu,huenda wazazi wai wakiwalea vizuri
 
Mbona kawambwa alikuwa mpole vile akifungwa Pingu na mgambo.jamani nikajua amefulia
When you know Who you are and what power you have! You fool them for few hours ili wakiingia kwenye 18 zako . Wanakuja jiona ni Wapumbavu mara elfu🤣🤣. Na wanajua kabisa ndani ya mioyo yao kuwa adhabu unayowapa wanastaili na awatakiwi kulalamika.
 
Huyu kijana anaonekana makuzi yake ya hovyo sana.hana nidhamu kabisa.kunakadada kapuuzi hapo kanamuunga mkono.
Anaonga waliopo madarakani na hivyo visent vyake vya mashimo ya Mchanga so amejaa Kibri. Wenzake wana konections na Nguvu mara 100 ya zake.Ukimya wao wakati ana watusi na kuwabughuzi altakiwa kustuka na kuwa mpole . Yeye alivyoona awamjibu akajua awana cha kumfanya🤣. Now anakuwa fuckd without Vaseline😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…