Diwani ashindwa jaribio la kumchafua kwa makusudi Waziri Mstaafu Kawambwa huko Bagamoyo

Yaan ukisikia ku fetch the consequences ndio hapo hii nahau inapo timia na kupata uzito
"" mchuma janga hula na wakwao"""
 
tunahitaji kuwa updated, huyu kijana ameshafikishwa mahakamani au bado. usipofunzwa na wazazi ulimwengu una kazi kubwa sana kukufunza.
Unakamatwa 25 April-26 sikukuu..Weekend..Jumatatu Kesi yako aijapangiwa Mpelelezi...J4 Mei Mosi..... yupo Mahabusu pamoja na wavuta bangi ,Vibaka na wanya gongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…