Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Una fikra duni sana na dhaifu sana, hujui maana Wala umuhimu wa katiba mpyaNaomba mikutano ya Siasa isaidie unga kushuka bei,mafuta kushuka bei,mchele na bidhaa zingine pia isaidie miradi kukamilika na kuanzisha mingine
Soma vizuri pale chini ya heading kuhusu “mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusadia umma kuwa na taarifa maalum”Sikufahamu kama siku hizi wageni (guest) wanaruhusiwa kupost humu.
Acha bange ,unamjua Mleta uzi nani mpaka useme utamfuatilia kila muda ?Usikute aliyeandika uzi huu ni rais Samia mwenyewe. Haiwezekani uzi uwe sahihi kwa 100% kiasi hiki!!!
Hongera Sana mleta mada. Nitakuwa nakufuatilia kila muda
Kawaida ya sisi wabongo kupuuza mambo na kuamini hayatawezekana.Halafu uzi ulichangiwa kidogo kumbe ndio umejaa facts
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hujui unacho ongea.Hakuna nyaraka ya siri hapa, ushamba wa ki jiwe tu ndo unawasumbua washamba kama nyie.
Wewe ukionyoshwa state secrets au classified information wala hutaweza kung'amua chochote.
Unaonekana mgeni Sana na JF.Kwanini isiwe JF wameandika uzi kwa kurudisha tarehe nyuma? Au kuedit uzi mmoja waliofuta kwa tarehe hiyo?
Kwani hiyo haiwezekani
Sawa.post kama guest nione?Unaonekana mgeni Sana na JF.
Nakubaliana na wewe sehemu ya kwanza lakini sehemu ya mwisho ya makundi naomba nitofautiane nawe.Chanzo cha uhakika ndani ya corridor za Ikulu kimenihakikishia Samia anataka kuisuka upya Serikali yake.
Chanzo hiki kimenieleza pia kuwa mabadiliko zaidi yatafanywa kimkakati na kuna watakaoondoka na maji hivi karibuni.
Pia chanzo hiki kimeniambia Katiba Mpya iko njiani. Samia anataka aache legacy hii. Pamoja na hilo, ataruhusu kwa haraka mikutano ya vyama vya siasa ikiwa ni ishara ya kukubali maridhiano yaliyokuwa yakitafutwa kwa muda sasa.
Kama haya yatakuwa ya kweli, Samia atakuwa amejiongezea credit kisiasa lakini anaweza kuwa anatengeneza pia kundi jipya linaloweza kumsumbua baadae.
JF mapoppma ndo wanatamba... wale wenye nyuzi nzito wanapotezewagaHalafu uzi ulichangiwa kidogo kumbe ndio umejaa facts
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kuna sehemu kama unatumia broswer unaingia kama whistleblower.Huyu inawezekana aliingia kama member lakini kutokana na uzito wa hoja yake ikabidi wambadili kuwa guest ili kulinda afya yake.
Inawezekana pia hata jina aliloingia nalo sio hilo linaloonekana hapo.
Mpaka tarehe na mwaka?Hili jamaa limeedit
Maza mwenyeweOya wadau hii kitu ilipostiwa December 2 mwaka 2022 halafu yametimia.. huyu aliyepost yeye ni nani?
Halafu hii post ndio naiona leo asee
Duuh kama ni maza ngoja nimuombe ha 500Maza mwenyewe
Katiba ipi sasa rasimu ya warioba au ya chenge?Pia chanzo hiki kimeniambia Katiba Mpya iko njiani
Iliwekwa lockup kwanza baada ya kutimia ndiyo mods wameitoa lockup.Oya wadau hii kitu ilipostiwa December 2 mwaka 2022 halafu yametimia.. huyu aliyepost yeye ni nani?
Halafu hii post ndio naiona leo asee
Deni hilo walau tirion 46 hivi[emoji39]Rais Samia anaweza asigombee 2025 Ila akafanikisha Katiba mpya maana Kuna kauli ya nilimsikia anaongea kwamba anataka anapomaliza Miaka Yake 5 awe amewatendea Jambo Watzn..
Mtaletewa Makamba jr hahaMkuu hapo Ikulu hebu hakikisheni Kassim Majaliwa anatumbuliwa maana hii nchi hana Huwezo wa kuwa PM