DOKEZO Diwani Athuman kuondolewa TISS mwishoni mwa 2022. Mikutano ya Vyama vya Siasa kuruhusiwa

DOKEZO Diwani Athuman kuondolewa TISS mwishoni mwa 2022. Mikutano ya Vyama vya Siasa kuruhusiwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Chanzo cha uhakika ndani ya corridor za Ikulu kimenihakikishia Samia anataka kuisuka upya Serikali yake.

Chanzo hiki kimenieleza pia kuwa mabadiliko zaidi yatafanywa kimkakati na kuna watakaoondoka na maji hivi karibuni.

Pia chanzo hiki kimeniambia Katiba Mpya iko njiani. Samia anataka aache legacy hii. Pamoja na hilo, ataruhusu kwa haraka mikutano ya vyama vya siasa ikiwa ni ishara ya kukubali maridhiano yaliyokuwa yakitafutwa kwa muda sasa.

Kama haya yatakuwa ya kweli, Samia atakuwa amejiongezea credit kisiasa lakini anaweza kuwa anatengeneza pia kundi jipya linaloweza kumsumbua baadae.
Dah umepatia
 
Point of correction!!

Uzi haukuchangiwa kabisa. coment ya pili imepostiwa Leo(5hrs ago)

[emoji1787]
Kila mtu alimpuuza wakijua ameposti umbeya ama chuki na roho mbaya. Kumbe ndiyo ukweli wenyewe
 
Chanzo cha uhakika ndani ya corridor za Ikulu kimenihakikishia Samia anataka kuisuka upya Serikali yake.

Chanzo hiki kimenieleza pia kuwa mabadiliko zaidi yatafanywa kimkakati na kuna watakaoondoka na maji hivi karibuni.

Pia chanzo hiki kimeniambia Katiba Mpya iko njiani. Samia anataka aache legacy hii. Pamoja na hilo, ataruhusu kwa haraka mikutano ya vyama vya siasa ikiwa ni ishara ya kukubali maridhiano yaliyokuwa yakitafutwa kwa muda sasa.

Kama haya yatakuwa ya kweli, Samia atakuwa amejiongezea credit kisiasa lakini anaweza kuwa anatengeneza pia kundi jipya linaloweza kumsumbua baadae.
Sikufahamu kama siku hizi wageni (guest) wanaruhusiwa kupost humu.
 
Rais Samia anaweza asigombee 2025 Ila akafanikisha Katiba mpya maana Kuna kauli ya nilimsikia anaongea kwamba anataka anapomaliza Miaka Yake 5 awe amewatendea Jambo Watzn..
Sio "inawezekana" bali ni Hakika kabisa huyu mama hatagombea...!

Na ikitokea akashawishiwa na wapambe na Kisha kushawishika kugombea, hapo ndipo mtakapoona kuwa ule mgawanyiko wa CCM Dodoma mwaka 2015 kuteua mgombea ilikuwa ni cha mtoto...
 
K
Sio "inawezekana" bali ni Hakika kabisa huyu mama hatagombea...!

Na ikitokea akashawishiwa na wapambe na Kisha kushawishika kugombea, hapo ndipo mtakapoona kuwa ule mgawanyiko wa CCM Dodoma mwaka 2015 kuteua mgombea ilikuwa ni cha mtoto...
Kupata hiki kichekesho shilingi ngapi?
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom