Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Get me right ndugu yangu, kusema nina dharau is a mis-characterisation.Una dharau sana ndugu, una uhakika gani kuwa kitengo hakina fedha?
NARUDIA TENA DG WA TISS MTARAJIWA NI HAMDUNI. SIKU HIZI KUNA KAUTARATIBU FLANI USIO RASMI LAZIMA UWE BOSS WA TAKUKURU KWANZA KABLA UJAWA BOSS WA TISS.
🤣NARUDIA TENA DG WA TISS MTARAJIWA NI HAMDUNI. SIKU HIZI KUNA KAUTARATIBU FLANI USIO RASMI LAZIMA UWE BOSS WA TAKUKURU KWANZA KABLA UJAWA BOSS WA TISS.
SIWEZI KUELEZA KIUNDANI ZAID KWASABABU YA VIAPO NILIVYOKULA HUKU NIKINYOOSHEWA BASTOLA.
Diwani roho mbaya kwelikweli.
wapo mkuukuna TISS wa kike?
Japo Arvata yako inakuweka wazi kuwa ni mmoja wao na umeongea kiushabiki, lakini ni ukweli usiofichika kuwa linapokuja suala la ulinzi wa viongozi TISS ipo juu na ni moja ya jukumu lao na ndio maana wana kikosi husika.kwanza upo nje ya nilichokisema/maanisha kwa 100%.....
nikija kwa mada yako...
baada ya kuapishwa?? unaijua tofauti ya ulinzi na kusindikiza?? Tanzania haitakaa raisi akalindwa na Mtu wa TPDF...
ukweli mchungu ni kwamba kwa TISS, TPDF ni wadogo sanaaaa saaaanaa linapokuja swala la ulinzi wa viongozi yani 15% ya uwezo hawafiki.. NA MABEYO ANALIJUA HILI
NAWASILISHA
ivi nao hua wanatumia picha ya bundiJapo Arvata yako inakuweka wazi kuwa ni mmoja wao na umeongea kiushabiki, lakini ni ukweli usiofichika kuwa linapokuja suala la ulinzi wa viongozi TISS ipo juu na ni moja ya jukumu lao na ndio maana wana kikosi husika.
Itakuwa hujaijua hadithi ya Samson vyema mkuu. Achana na ule mlango kabisa. Haijalishi koromeo wala koromeloM15 ni kama tu FBI inahusika na ukasanyaji wa taarifa za ndani za kiitelinjesia, huwezi fananisha hiyo MI5 na MI6 maana ni wadogo mno.
Ukija kwenye taasisi yetu unaona kurugenzi ya ndani na nje zote ziko chini ya TISS hivyo inahitaji mwanamme hasa mwenye koromeo kuiendesha achana na hawa wanawake ambao hawana vifua, wakitekenywa kidogo tu na wanaume wao wanaropoka kila kitu.
Ila kuna ka ukweli fulani hivi, hawa wanawake wana ushawishi sana unaweza shangaa unaropoka kila kitu 😀Itakuwa hujaijua hadithi ya Samson vyema mkuu. Achana na ule mlango kabisa. Haijalishi koromeo wala koromelo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwa hiyo Wankyo mnamsagia kunguni...
Je awamu ya mzee wa chato hali ilikuwaje?Ukiwa unaitwa Mohamed au Athuman hata kama huna sifa,utateuliwa ktk nafasi yoyote.Tunakoelekea siyo kuzuri.Baba wa taifa alikuwa hapendi kabisa mambo ya udini na ukabila.
Huo uthubutu wa kunipinga umeutoa wapi? Huo ujasiri. Labda hunifaham vizuri. Nawatuma kwako vijana wangu Rama na Frenki. Wape ushirik7ano.
Megalodon I doubt huenda wewe ni Mhanga wa either huko TISS au MSD ndio maana UNAHASIRA KUPINDUKIA. Comments zako kwenye huu mjadala is too emotional and aggresively. Yaani ni rahisi sana mtu kujua kilichoko ndani yako. Huenda:-
1. Uliondolewa kitengo fulani
2. Mrija wa upigaji umekata
nikutanishe na mmojawapo mkuu
Kwa maana hiyo, wakipikwa wanaweza kuwa hatari sana... Zaidi ya tunavyowafikiria.Ila kuna ka ukweli fulani hivi, hawa wanawake wana ushawishi sana unaweza shangaa unaropoka kila kitu [emoji3]
Unajua huko jeshini wanachunguza mambo gani..?Military intelligence hawezi kufit kuwa director wa tiss , wao wanachunguza mambo ya kijeshi halafu umlete kufuatilia raia kweli?
🤣🤣🤣 Tatizo alitanga NIA kabla ya MUDA wake, halafu alitaka akalie hicho kiti kwa miezi michache, sasa akitoka kwenye hicho kiti baada ya hiyo miezi michache anataka kua NANI tena?Kwa hiyo Wankyo mnamsagia kunguni...