Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Status
Not open for further replies.
Una dharau sana ndugu, una uhakika gani kuwa kitengo hakina fedha?
Get me right ndugu yangu, kusema nina dharau is a mis-characterisation.
Mimi ni mpenzi sana wa shughuli za kitaalam za hii idara yetu, miaka mingi.
Tatizo au pengine uwezo wake hauwezi kuwa mkubwa kulinganisha na kipato cha nchi.
That is what I mean.
 
NARUDIA TENA DG WA TISS MTARAJIWA NI HAMDUNI. SIKU HIZI KUNA KAUTARATIBU FLANI USIO RASMI LAZIMA UWE BOSS WA TAKUKURU KWANZA KABLA UJAWA BOSS WA TISS.

SIWEZI KUELEZA KIUNDANI ZAID KWASABABU YA VIAPO NILIVYOKULA HUKU NIKINYOOSHEWA BASTOLA.
🤣
 
kwanza upo nje ya nilichokisema/maanisha kwa 100%.....


nikija kwa mada yako...
baada ya kuapishwa?? unaijua tofauti ya ulinzi na kusindikiza?? Tanzania haitakaa raisi akalindwa na Mtu wa TPDF...

ukweli mchungu ni kwamba kwa TISS, TPDF ni wadogo sanaaaa saaaanaa linapokuja swala la ulinzi wa viongozi yani 15% ya uwezo hawafiki.. NA MABEYO ANALIJUA HILI

NAWASILISHA
Japo Arvata yako inakuweka wazi kuwa ni mmoja wao na umeongea kiushabiki, lakini ni ukweli usiofichika kuwa linapokuja suala la ulinzi wa viongozi TISS ipo juu na ni moja ya jukumu lao na ndio maana wana kikosi husika.
 
Japo Arvata yako inakuweka wazi kuwa ni mmoja wao na umeongea kiushabiki, lakini ni ukweli usiofichika kuwa linapokuja suala la ulinzi wa viongozi TISS ipo juu na ni moja ya jukumu lao na ndio maana wana kikosi husika.
ivi nao hua wanatumia picha ya bundi
 
M15 ni kama tu FBI inahusika na ukasanyaji wa taarifa za ndani za kiitelinjesia, huwezi fananisha hiyo MI5 na MI6 maana ni wadogo mno.

Ukija kwenye taasisi yetu unaona kurugenzi ya ndani na nje zote ziko chini ya TISS hivyo inahitaji mwanamme hasa mwenye koromeo kuiendesha achana na hawa wanawake ambao hawana vifua, wakitekenywa kidogo tu na wanaume wao wanaropoka kila kitu.
Itakuwa hujaijua hadithi ya Samson vyema mkuu. Achana na ule mlango kabisa. Haijalishi koromeo wala koromelo
 
Itakuwa hujaijua hadithi ya Samson vyema mkuu. Achana na ule mlango kabisa. Haijalishi koromeo wala koromelo
Ila kuna ka ukweli fulani hivi, hawa wanawake wana ushawishi sana unaweza shangaa unaropoka kila kitu 😀
 
Megalodon I doubt huenda wewe ni Mhanga wa either huko TISS au MSD ndio maana UNAHASIRA KUPINDUKIA. Comments zako kwenye huu mjadala is too emotional and aggresively. Yaani ni rahisi sana mtu kujua kilichoko ndani yako. Huenda:-
1. Uliondolewa kitengo fulani
2. Mrija wa upigaji umekata

Endelea ku doubt
 
Ila kuna ka ukweli fulani hivi, hawa wanawake wana ushawishi sana unaweza shangaa unaropoka kila kitu [emoji3]
Kwa maana hiyo, wakipikwa wanaweza kuwa hatari sana... Zaidi ya tunavyowafikiria.

Ule mtego kuuvuka inahitajika busara ya hali ya juu sana na nidhamu ya kupitiliza. Hapo wengi ndio wanapofeli na kuanguka. Baada ya kukoswa koswa koteee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom