Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

*Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.

Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!*

KILA MTANZANIA ASOME HAYA MANENO HAPO NA AYATAFAKARI
 
Polee sana na jamii iliyo kuzunguka, amini we ni hasara
 
Wewe ni mpumbavu na kama si mpumbavu basi ni mwehu na unatakiwa upelekwe Milembe,ule ni uchaguzi kweli kwa mtu mwenye akili timamu,ona nchi inavyopitia magumu kwa sababu ya Uchaguzi mbovu.Hata kama Rais amekufa mambo yangeenda vizuri kwa sababu viongozi wangekuwa waliochaguliwa na wananchi hivyo wangelinda heshima zao kwa kufanya yenye haki na heshima.
 
Hata serikali ya Kikwete anaijua vizuri sana
 
Umenena Kweli !
 
Wewe jamaa una Siri nyingi Sana,nje ya mfumo kiukweli mtu anakuwa kibogoyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…