Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Sema nyie watu ni wakatili sana asee hivi nyie ni binadamu kama sisi kweli? Mtu akitofautiana na wewe kimtazamo unamuona adui unampa zawadi ya mateso na kifo?
Tatizo nyinyi mmejiaminisha matatizo ya watu kutekwa na kupotea yameanzia kwenye utawala wa Magufuli na Diwani, mambo ya Watu kupotea au kufa yapo tokea enzi za Nyerere tena enzi za nyerere hata mitandao vyombo vya habari,hakukuwepo kama Sasahivi, hivyo walifanya walivyotaka enzi hizo tunasikiliza redio Tanzania (tbc)hata mtu wako akipotezwa hauwezi fungua mdomo kusema, Hata Sasahivi bado watu wanapotea tu sema bado mna mahaba na mama, kwenye utawala kuko hivyo kuna watu lazima waminywe ndipo unaweza kuendesha mchi maana wengine wako kwa ajili ya vurugu tu.
 
Acha kutumia herufi "x" kwenye maneno utakuwa shoga wewe.
Naweza sema akili yako inashida fulani!
Anaetumia "X" anatumia kama mbadala "S" sio "Z", Hivo basi ulichoshindwa kuelewa ni kiwa hiyo ni typing error, na kwa kuthibitisha ilo angalia herufi hizo mbili ukaribu wake katika keyboard ya simu yako.
 
Reactions: Cyb
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Daaah
 
Labda kama ametoka kabisa nje ya mstari mwekundu. ila kama ametoka nje ya mistari mingine 'laaah' hakuna yeyote wa kumfanya kitu chochote unless aya ya kwanza..
 
Suala la peter wa royal tour, halihusiki kweli?
Kutenguliwa balozi wa USA, na yeye kuondolewa kwake madarakani, huenda walishindwa kumpa mama siri na malengo halisi ya peter!
Nchi ngumu sana hii.
Maswali ni mengi kuliko majibu
Malengo ya peter ni yepii
 
Kukataa uteuzi wa Rais anajiweka ktk hatari kubwa sana, nakwakatiba hii ilivyompa Rais mamlaka wanaweza mchomekea kesi nzito akafie gereza la ukonga
Anakundi lake la kumtii na hatujui madhara ya kundi lake kwa maaana ya wanaomuunga mkono hatuwajui na hatujui uwezo wao

Kikubwa Mungu asimame na taifa
 
Siku hizi CDF mkuu mkuu wa majeshi ya Ulinzi na usalama ndiyo mwenyekiti wa jopo la ujasusi na yeye hupata taarifa nyingi na ukumbuke yeye ana ndege za kivita vifaru makombora usimweke level ya IGP na hao wengine
Wabongo bana,ehe

Ova
 
Sema nyie watu ni wakatili sana asee hivi nyie ni binadamu kama sisi kweli? Mtu akitofautiana na wewe kimtazamo unamuona adui unampa zawadi ya mateso na kifo?
Ndiyo mifumo yote iko hivyo duniani
Kutekana,kuua nk
Dunia ni uwanja wa fujo

Ova
 
That is rare...there is only one way and the way is clear. Awekewe ulinzi wa kutosha. Kama alifanya mambo ya maajabu, hii ni payback time
Nani amuwekee Ulinzi sasa ?
 
Hana ubavu wa kuukataa uteuzi wa Raisi hata Mara Moja.
Akishakula ma Viapo mengi ya Kumtii Raisi
 
Nyerere alitengua Gama kutoka DGIS na kuwa RC Dodoma
 
Okay nimekusoma vyema kumbe hofu yako mkuu
 

Mkurugenzi wa TISS ni mtu mdogo sana??? Pole sana aisee! Ulisoma shule ya Kata ya wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…