myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
AiseeAppointments za hawa jamaa wakishaondoka au kuondolewa kwenye wadhifa, inakuwa very sensitive.
Wanaweza hata kupotea!
Wana siri nyingi mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeAppointments za hawa jamaa wakishaondoka au kuondolewa kwenye wadhifa, inakuwa very sensitive.
Wanaweza hata kupotea!
Wana siri nyingi mno.
Hadi 2025 tutaona na kusikia mengi sana mwisho atajiunga kile chama pendwa cha vijanaKawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.
Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula
I said.
=====
Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya kuwa katibu Mkuu Ikulu
Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu.
View attachment 2469861
Halipo La KugomeaUmekimbilia haraka sana kwenye umri, hilo kwangu kwa sasa halina maana kulizungumzia.
Turudi kwenye hoja ya msingi, Yeye DGIS kugomea teuzi ni uhaini?
Hivi ndo wa kwanza kufanya madudu?Huyu Diwani **** madudu makubwa kayafanya ajiangalie. Soon atapelekwa selo.
Kuna 'mole' anampa mama faili moja baada ya jingine, la maovu ya Diwani.
Wewe hujui unachosema, chief of staff ipi ya ikulu?. Usitumie neno Chief of Staff vibaya.Hivi mkuu kutoka DGIS mpaka Chief of staff ni demotion kweli?[emoji848]
I think there must be something wrong au mama alipanga amshushe kiaina bila kelele.
Wewe tu ndiye mwenye akili kati ya members wote wa jamiiforumHakuna mtu anayehudumu TISS na ambaye ni Member wa TISS akateuliwa kazi yoyote na Rais akagoma.
Rais atakuwa amestuka kuwa kumuweka Ikulu karibu yake mtu aliyekuwa anaendesha mission za kuonea wapinzani kutaathiri mipango yake ya zile R nne
🤣🤣Karibuni sana tujenge Mnara wa Babeli ili tumfikie Mungu...
Tumbafu we dingiKiukweli kumtoa mtu kwenye position ya DGIS na kumwacha popote nchini is a mistake!. Position stahiki kwa DGIS mtumbuliwa ni kumpeleka ubalozini. Rais nae ni binadamu na sio malaika, hivyo anaruhusiwa kufanya human mistakes. Hili nililizungumza hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
P
Kwa Mzilankende Yalitokea
Hivi wewe na unayemjibu Nani mvuta bangi? Unadhani uteuzi wa rais ni sawa na wa babako kuwa mjumbe wa mtaa?
Nilisema jana hapa huu ujinga wa tengua teua kwa visasi na chuki kutengeneza team inayompendeza mtenguaji/mteuaji ni ujingaa..Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.
Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula
I said.
=====
Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya kuwa katibu Mkuu Ikulu
Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu.
View attachment 2469861
Amejiuzulu???...Hongera Diwani kwa kujiuzulu kutunza heshima yako🙏🙏🙏🙏
Hakuna mtu anayehudumu TISS na ambaye ni Member wa TISS akateuliwa kazi yoyote na Rais akagoma.
Rais atakuwa amestuka kuwa kumuweka Ikulu karibu yake mtu aliyekuwa anaendesha mission za kuonea wapinzani kutaathiri mipango yake ya zile R nne