Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Fahamu tafsiri sahihi ya kosa la uhaini na adhabu yake​


Fahamu tafsiri sahihi ya kosa la uhaini na adhabu yake
Uhaini ni kosa la jinai, kwa tafsiri nyepesi ina maana kwamba ni kosa kubwa ambalo mtu analifanya dhidi ya nchi yake na mtu anyefanya kosa hili anajulikana kama msaliti, mfano wa watu wasaliti wanaojulikana duniani ni Yuda ambaye kidini alimsaliti Yesu, mwingine ni Benedict Anold huyu jamaa aliisaliti nchi yake ya Marekani dhidi ya Mbritishi, wengine ni Vidkun Quisling, na Marshall Pe’tain.
Kisheria ukubwa wa kosa hupimwa kwa adhabu yake, kosa likiwa kubwa mtuhumiwa hutumikia adhabu kubwa vivyo hivyo kosa likiwa dogo mtuhumiwa huadhibiwa kiasi.


Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, mtu akifanya yafuatayo huhesabiwa kama amefanya kosa la jinai la uhaini hivyo huadhibiwa kulingana na ukubwa wa kosa hilo.
Kifungu cha 39 ( 1 ) cha kanuni za adhabu kinasema kuwa mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano au popote, kujaribu kumuua Rais, kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Muungano, kusababisha, kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri kuhusu kifo, kumlemaza, kumzuia, kufungwa kwa Rais. kumwondolea Rais heshima na jina la mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu, au kiongozi wa serikali, kupindua serikiali iliyo madarakani, kutishia serikali, bunge au mahakama kwa makosa haya na yale yaliyotajwa hapo juu mtu wa namna hiyo atakuwa ametenda kosa la jinai ambalo ni kosa la uhaini

Aidha ifahamike kuwa kwa mtu yeyote atakayekutwa na hatia ya kutenda kosa la uhaini adhabu yake ni kifo na sheria hiyo ya kifo imeelezwa katika kifungu cha sheria namba 39 na 40 cha kanuni za adhabu.
Hivyo watanzania kwa umoja wetu tunapaswa kuzijua sheria za nchi yetu ili kuweza kujiepusha kutenda makosa ya jinai dhidi ya nchi yetu.



Iwe kwa faida yako na wengine kama wewe ambao una hisi kila mtu akitenguliwa basi amekataa nafasi hiyo...

Jitahidi kusoma kwa makini kila mstali uweze kupata uelewa...

Wenzio wakina Mbowe, Lema nk walipanda ndege kutoka dar kwenda ktk sherehe mwanza kwa Magufuli, walikuwa wana elewa haya. Wangeweza kusema wana umwa lakini ndio hivyo haikuwezekana

mirisho pm
T14 Armata
DURACEF
lukesam
Kati ya uliyotaja hakuna lolote ambalo linahusika na kukataa uteuzi wa wadhifa. Rudia kusoma wewe mwenyewe
 
Kukataa ni uhaini na adhabu ni inaweza kuwa kifo au kuishi kama marehemu jumbe... (RIP)

Hivyo msiwe mna andika ili mradi kuandika... una zani kwann wakina mbowe hawakatai wakiitwa kwenda kwa Mh. Ikulu? Ni uhaini kukataa wewe kama mtanzania kwa nchi yako
Imran kombe
 
Kwahiyo Jamaa hana marupurupu ya kustaafu na ulinzi na pia hana mshahara sijaelewa yaani karudi kwenye zero au ukitolewa unaendelea kupata marupurupu kama hana chochote serikali iangalie mara mbili asije kutumiwa na watu wabaya na ikawa rahisi kwake kukubali kutokana na ugumu wa maisha anaoenda kukutana nao sijui na hili limeangaliwa
 
Itakuwa jamaa kachomoa. Huu ndio uanaume. Huwezi kuwa DGIS kisha ukakubali kwenda kuwa Katibu Ikulu. Kudharirishana na upuuzi tu.
Katibu mkuu,ni chief of staff wa Raisi,ni boss wa watumishi wote Ikulu!!,
Sasa maadam katumbuliwa,akae mkao wa kula,inaelekea haivi na boss,awe makini yasijeyakamkuta yq Imran Kombe
 
Siku hizi Wakuu wa Usalama wameshawekwa mfukoni ..... Wanabadilishwa same as \Wakuu wa Wilaya na Mikoa.

Those days it was almost unthinkable .... mpaka wanaretire ndiyo wanatoka madarakani. Lakini this time around ndani ya miaka 5 Wakuu wa Usalama 4 .... Tatizo liko wapi!!?
Mbona hawajafika hao 4 ni 3 ndani ya miaka 8

Kipilimba

Diwani

Nassoro
 
Kukataa teuzi ni uhaini? Unavuta bangi?
jamaa sijui kasoma sheria ya nchi gani hiyo, na picha lake la chama cha mambuzi, anacomment vitu ambavyo havipo kabisa, eti mbowe alienda kwenye uapisho wa magufuli akili mbovu hii,, jana tu kenya odinga hajaenda kwenye uapisho wa ruto na hakuna kilichofanyika , na hajui kama felony ni kosa linasomeka kwa pamoja kwenye penal code zetu tulizo copy toka india
 
Back
Top Bottom