Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishaa sana mama samia kuamua kumpa ofisi mtu wa aina hii pala ikulu, washauri wake wachunguzweWameona asije kuua tausi wa ikulu kwa stress.
Huyu ingekua ngumu kummudu kama angeendelea kubaki hapo ikulu.
Kati ya uliyotaja hakuna lolote ambalo linahusika na kukataa uteuzi wa wadhifa. Rudia kusoma wewe mwenyeweFahamu tafsiri sahihi ya kosa la uhaini na adhabu yake
Fahamu tafsiri sahihi ya kosa la uhaini na adhabu yake
Uhaini ni kosa la jinai, kwa tafsiri nyepesi ina maana kwamba ni kosa kubwa ambalo mtu analifanya dhidi ya nchi yake na mtu anyefanya kosa hili anajulikana kama msaliti, mfano wa watu wasaliti wanaojulikana duniani ni Yuda ambaye kidini alimsaliti Yesu, mwingine ni Benedict Anold huyu jamaa aliisaliti nchi yake ya Marekani dhidi ya Mbritishi, wengine ni Vidkun Quisling, na Marshall Pe’tain.
Kisheria ukubwa wa kosa hupimwa kwa adhabu yake, kosa likiwa kubwa mtuhumiwa hutumikia adhabu kubwa vivyo hivyo kosa likiwa dogo mtuhumiwa huadhibiwa kiasi.
Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, mtu akifanya yafuatayo huhesabiwa kama amefanya kosa la jinai la uhaini hivyo huadhibiwa kulingana na ukubwa wa kosa hilo.
Kifungu cha 39 ( 1 ) cha kanuni za adhabu kinasema kuwa mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano au popote, kujaribu kumuua Rais, kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Muungano, kusababisha, kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri kuhusu kifo, kumlemaza, kumzuia, kufungwa kwa Rais. kumwondolea Rais heshima na jina la mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu, au kiongozi wa serikali, kupindua serikiali iliyo madarakani, kutishia serikali, bunge au mahakama kwa makosa haya na yale yaliyotajwa hapo juu mtu wa namna hiyo atakuwa ametenda kosa la jinai ambalo ni kosa la uhaini
Aidha ifahamike kuwa kwa mtu yeyote atakayekutwa na hatia ya kutenda kosa la uhaini adhabu yake ni kifo na sheria hiyo ya kifo imeelezwa katika kifungu cha sheria namba 39 na 40 cha kanuni za adhabu.
Hivyo watanzania kwa umoja wetu tunapaswa kuzijua sheria za nchi yetu ili kuweza kujiepusha kutenda makosa ya jinai dhidi ya nchi yetu.
Iwe kwa faida yako na wengine kama wewe ambao una hisi kila mtu akitenguliwa basi amekataa nafasi hiyo...
Jitahidi kusoma kwa makini kila mstali uweze kupata uelewa...
Wenzio wakina Mbowe, Lema nk walipanda ndege kutoka dar kwenda ktk sherehe mwanza kwa Magufuli, walikuwa wana elewa haya. Wangeweza kusema wana umwa lakini ndio hivyo haikuwezekana
mirisho pm
T14 Armata
DURACEF
lukesam
Imran kombeKukataa ni uhaini na adhabu ni inaweza kuwa kifo au kuishi kama marehemu jumbe... (RIP)
Hivyo msiwe mna andika ili mradi kuandika... una zani kwann wakina mbowe hawakatai wakiitwa kwenda kwa Mh. Ikulu? Ni uhaini kukataa wewe kama mtanzania kwa nchi yako
Kuna uthibitisho kweli kwa huyo mteule kukataa uteuzi? Au ndiyo tetesi tu za hapa na pale!!!Je kukataa uteuzi wa Rais kunaweza kuchukuliwa kama uhaini?
Sheria gani inasema hivi?...hebu tuwekee
Kila kitu kizuri kina gharama yakeAjiqndaye kupumzika kwa amani kama amekataa.
Kuna vyeo ukishavipata unapaswa kuwa mtii maisha yako yote
Kuna comment yangu maha fulani nilishauri jamaa arudishwe tu police kuna kazi nyingi za kufanya kwenye investigations hasa ukizingatia keshaongeza ujuzi
Ndio maana nilikutaka kusoma vyema mstali kwa mstali na kwa utulivu bila jazbaKati ya uliyotaja hakuna lolote ambalo linahusika na kukataa uteuzi wa wadhifa. Rudia kusoma wewe mwenyewe
We acha hiyo .... Bongo wanakaaga tangu lini?Jamaa atakuwa kakataa. Hata mimi nisingekubali huo ujinga.
Wenye kukumbuka Marehemu Imran Kombe alikuaga nani vile?
Katibu mkuu,ni chief of staff wa Raisi,ni boss wa watumishi wote Ikulu!!,Itakuwa jamaa kachomoa. Huu ndio uanaume. Huwezi kuwa DGIS kisha ukakubali kwenda kuwa Katibu Ikulu. Kudharirishana na upuuzi tu.
Mbona hawajafika hao 4 ni 3 ndani ya miaka 8Siku hizi Wakuu wa Usalama wameshawekwa mfukoni ..... Wanabadilishwa same as \Wakuu wa Wilaya na Mikoa.
Those days it was almost unthinkable .... mpaka wanaretire ndiyo wanatoka madarakani. Lakini this time around ndani ya miaka 5 Wakuu wa Usalama 4 .... Tatizo liko wapi!!?
Mi' imebidi nicheke sana. Jamaa he is totally an imbecile. Nimecheka sana.Kukataa teuzi ni uhaini? Unavuta bangi?
jamaa sijui kasoma sheria ya nchi gani hiyo, na picha lake la chama cha mambuzi, anacomment vitu ambavyo havipo kabisa, eti mbowe alienda kwenye uapisho wa magufuli akili mbovu hii,, jana tu kenya odinga hajaenda kwenye uapisho wa ruto na hakuna kilichofanyika , na hajui kama felony ni kosa linasomeka kwa pamoja kwenye penal code zetu tulizo copy toka indiaKukataa teuzi ni uhaini? Unavuta bangi?
Diwani ni sukuma gang. Mama kaamua kumchinjilia mbaliHivi ndo wa kwanza kufanya madudu?
Kuwajibisha viongozi sio utamaduni wetu unless Kuna vitu personal.
Wangapi wamefanya madudu wapo tu huko,
Hamna Cha file Wala folder
Sasa ukibakia kitaani unauza sura ndio itakusaidia Nini?Itakuwa jamaa kachomoa. Huu ndio uanaume. Huwezi kuwa DGIS kisha ukakubali kwenda kuwa Katibu Ikulu. Kudharirishana na upuuzi tu.