Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Ninyi vijana wa 90s, hamjui kuna kazi unaolewa mpaka kifo.
Kwa wadhifa aliokuwa nao Diwani must be UNDER total control, or neutralised.
Kazi za secret service hazina masuala ya kukataa. Ukikataa unahesabika ni oathbreaker. Lakini, huyo jamaa Chilla ame-generalise teuzi zote za rais kuwa ni uhaini ukikataa. Hapo ndio amedhihirisha ukilaza wake.
 
Mistake hii pia ilifanyika kwa polepole na Bashiru kuwateua wabunge wakati walikuwa na kinyongo, hivyo kuwapa forum ya kumshambulia SSH Bungeni wakati wangepigwa kimya bila nafasi yoyote ile au nafasi dhaifu
 
Kiukweli kumtoa mtu kwenye position ya DGIS na kumwacha popote nchini is a mistake!. Position stahiki kwa DGIS mtumbuliwa ni kumpeleka ubalozini. Rais nae ni binadamu na sio malaika, hivyo anaruhusiwa kufanya human mistakes. Hili nililizungumza hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Kuhusu hizi appointments nyeti na very strategic tusimwachie mtu mmoja tuu, she is human hivyo sometimes human mistakes caused by human weaknesses zinaweza kutokea ukajikuta unamtumbua mtu mzuri kwa issues ndogo tuu zikingine za ... Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
Wakati mwingine rais anafanya maamuzi kama hayo ili mtu ajifukuze kazi mwenyewe, so i believe huo ni mtego na ndugu yetu wa same ameuingia mzima mzima na leo yametimia.
 
Nilisema jana hapa huu ujinga wa tengua teua kwa visasi na chuki kutengeneza team inayompendeza mtenguaji/mteuaji ni ujingaa..
Si kila mtu yuko tayari kwa maujingaujinga hayo.

Tunahitaji katiba mpya haraka saana..

Huu upuuzi ukome.
Unataka kusemaje Sasa? Diwani katumbuliwa kwasabb imedhihirika pasipo shaka kuwa yeye ni sukuma gang
 
Najiuliza wanaokaa na Raisi kujadili kutumbua mkuu wa ujasusi ,spy chief,na kuteua mwingine!!
Majaliwa,Kinana,Kikwete,Mpango,au Samia alikutqna na Kinana na Kikwete,wakayamaliza,maana jamaa amezidi kuwaaibisha kwenye madeal yao maovu
 
Nikija kuwa rais, hata siku moja sitoruhu ex DGIS abaki nchini, namchapa ubarozi australia, au aame yeye mwenyewe nchi, au na disconnect nyaya ya upuaji wake. Ni watu hatar sana kwa taifa wakiwa nje ya mfumo.
Attitude ndo infanya mtu kuwa hatari
 
1672924688439.png


Kwa wale wasiomfahamu. Ni huyo wa kushoto akiwa na hayati KMK Kijazi Januari 2020
 
Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.

Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula

I said.

=====

Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya kuwa katibu Mkuu Ikulu

Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu.


[ATTACH type="full" alt

Askari polisi,Corporal Mataba aliyempiga risasi Marehemi Imran Kombe yuko wapi siku hizi?
 
..lakini sio mara nyingi na kwa uzembe kama sasa hivi.

..baada ya uteuzi wa yule kijana uvCcm kuwa DG wa Tpdc ungetegemea wawe waangalifu zaidi.

..wakuu wa usalama wakiondolewa huwa wanakuwa mabalozi au wakuu wa mikoa.
Mara nyingine rais anafanya makusudi ili kutizama pressure ya audience yake kisha anafanya vile wanataka kuonesha anawasikiliza na kujali mawazo yao, hasa ukizingatia ilikuwa ndio mwanzo wa utawala wake, mkuu nchi ina siri nyingi.
 
Mbona hawajafika hao 4 ni 3 ndani ya miaka 8

Kipilimba

Diwani

Nassoro
Othman ni wa nne .... Ingawa yeye alioondoka kwa kustaafu.

 
Back
Top Bottom