Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Huyu Diwani **** madudu makubwa kayafanya ajiangalie. Soon atapelekwa selo.

Kuna 'mole' anampa mama faili moja baada ya jingine, la maovu ya Diwani.
Awepo 'mole' alafu apeleke taarifa kwa Samia? Sasa huyo sio mole ni agent na anachokifanya ni kazi yake, mole ni yule jasusi wa organization fulani kajichomeka kuajiriwa kwenye taasisi nyingine ya intelligence. Utawakuta Wanyarwanda hizi nchi za EAC wanareport kwa NISS, ndio moles hao
 
Umetaja uhaini na upo katika katiba basi onyesha wapi katiba inasema kukataa uteuzi wa Rais ni uhaini. Yule jamaa wa kampuni binafsi aliyekaa ukuu wa wilaya sijui uDED kipindi cha Magu si aliendelea na majukumu yake.
Umeanza vizuri hoja yako lkn umemalizia vibaya.

Kazi nyingine ndiyo zina hizo options z a kukataa uteuzi kkn siyo za vyombo vya ulinzi na usalama bosi. Uko hapo nyonyo?
 
Wewe hujui unachosema, chief of staff ipi ya ikulu?. Usitumie neno Chief of Staff vibaya.
Yaani utoke kuwa boss wa majasusi taifa zima uende kuwa katibu wa ikulu tena utoe taarifa za kila siku kwa boss wa majasusi aliyekua mdogo kwako halafu unauliza kama no demotion?. Hivi hua vichwa vyenu vimejaa nn?
Yaani kweli wewe ndio pimbi, Nani amekwambia Chief of staff anaripoti kwa boss wa majasusi? If you have never been part of corridors, don't talk anything. Kwakukisaidia anaripoti moja kwa moja kwa anayekalia kiti kikuu fala wewe
 
Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.

Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula

I said.

=====

Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya kuwa katibu Mkuu Ikulu

Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu.


View attachment 2469861
Siku hizi Wakuu wa Usalama wameshawekwa mfukoni ..... Wanabadilishwa same as \Wakuu wa Wilaya na Mikoa.

Those days it was almost unthinkable .... mpaka wanaretire ndiyo wanatoka madarakani. Lakini this time around ndani ya miaka 5 Wakuu wa Usalama 4 .... Tatizo liko wapi!!?
 
Nikija kuwa rais, hata siku moja sitoruhu ex DGIS abaki nchini, namchapa ubarozi australia, au aame yeye mwenyewe nchi, au na disconnect nyaya ya upuaji wake. Ni watu hatar sana kwa taifa wakiwa nje ya mfumo.
Kwa akili hizi Urais sahau...
 
Back
Top Bottom