Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Umeanza vizuri hoja yako lkn umemalizia vibaya.

Kazi nyingine ndiyo zina hizo options z a kukataa uteuzi kkn siyo za vyombo vya ulinzi na usalama bosi. Uko hapo nyonyo?
Soma reply yangu nzima. Mbona mnakuwa wagumu hivi, mnadhani Rais ni chuma au jiwe lile halielewi.

Kama unaumwa au una matatizo yako yatakayokuzuia kufanya kazi, au kama una ushauri unaweza toa na mkakubaliana na Rais ugumu uko wapi?

Narudia tena. Mtu yeyote anaweza kukataa kazi anayopewa na Rais na akatoa sababu wakakubaliana asiifanye. Lowassa alijiuzuru kuwa PM na akakubaliwa. TISS ingekuwa ya maajabu sana basi DG asingekuwa anapelekwa nje ya nchi angekuwa anauwawa. Mnaifanya TISS ionekane kundi la kishetani na waliopo ni majini
 
Mara nyingine rais anafanya makusudi ili kutizama pressure ya audience yake kisha anafanya vile wanataka kuonesha anawasikiliza na kujali mawazo yao, hasa ukizingatia ilikuwa ndio mwanzo wa utawala wake, mkuu nchi ina siri nyingi.

..unataka tu kuhalalisha uzembe wa Raisi.

..maelezo yako hayajanishawishi.
 
Kwa ufupi tahasisi imepwaya sana....miaka ya hivi karibuni,
Imeshindwa kuimili mabadiliko ya kitamaduni, kisiasa, kiuchumi, na kitechnologia ndani ya jamii na nje ya jamii yetu.
 
Kama unaumwa au una matatizo yako yatakayokuzuia kufanya kazi, au kama una ushauri unaweza toa na mkakubaliana na Rais ugumu uko wapi
Kwahiyo Diwani kaanza kuugua mara tu baada ya kuondolewa nafasi aliyokuwa nayo na kupewa ya ikulu?

Huoni kwamba hii hypothesis yako imekufa kifo cha mende hata kabla hujamqloza kuiandika?
 
Ukute Diwani amekataa kuwa hapo.
Au huenda Rais kasikiliza mawazo ya wanaJF
Kawaida serikalini ukikataa uteuz wao wanasema wamekutengua.

Ni kama wakati wa Kangi lugola Ninja alipomuaibisha hadharani mkuu wa magerza. Jamaa aliamua kuachia ngazi kwa hiari na roho safi siku hiyo hiyo jioni. Lakini Kesho yake Jiwe akasema kamfukuza
 
Hoja yangu ipo kwenye kosa alilotaja huyo bwana niliyemjibu, kosa la uhaini. Sijasema kwamba hao watu wanaweza kujiamulia tu kugomea maamuzi ya Rais, sijui kama ulinielewa.
Kwani mkuu, kuna ulazima wa kutuwekea font size 5000% kweli.
 
Hata sielewi hii ni both team to score sijui ni over
Sijui umechanika sijui umewini
Siasa zao watajuana wenyewe ngoja tuendelee na maisha yetu ya hekaheka za digidigi na ngiri mbugani
 
Back
Top Bottom