Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Huko ubalozini unazani ana ripoti mbinguni??

Sio kila anae ondolewa ktk teuzi amemgomea Mh.

Kumgomea ni kosa la uhaini... Uhaini sio kupindua nchi pekee...

Fahamu tafsiri sahihi ya kosa la uhaini na adhabu yake​


Fahamu tafsiri sahihi ya kosa la uhaini na adhabu yake
Uhaini ni kosa la jinai, kwa tafsiri nyepesi ina maana kwamba ni kosa kubwa ambalo mtu analifanya dhidi ya nchi yake na mtu anyefanya kosa hili anajulikana kama msaliti, mfano wa watu wasaliti wanaojulikana duniani ni Yuda ambaye kidini alimsaliti Yesu, mwingine ni Benedict Anold huyu jamaa aliisaliti nchi yake ya Marekani dhidi ya Mbritishi, wengine ni Vidkun Quisling, na Marshall Pe’tain.
Kisheria ukubwa wa kosa hupimwa kwa adhabu yake, kosa likiwa kubwa mtuhumiwa hutumikia adhabu kubwa vivyo hivyo kosa likiwa dogo mtuhumiwa huadhibiwa kiasi.


Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, mtu akifanya yafuatayo huhesabiwa kama amefanya kosa la jinai la uhaini hivyo huadhibiwa kulingana na ukubwa wa kosa hilo.

Kifungu cha 39 ( 1 ) cha kanuni za adhabu kinasema kuwa mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano au popote, kujaribu kumuua Rais, kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Muungano, kusababisha, kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri kuhusu kifo, kumlemaza, kumzuia, kufungwa kwa Rais. kumwondolea Rais heshima na jina la mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu, au kiongozi wa serikali, kupindua serikiali iliyo madarakani, kutishia serikali, bunge au mahakama kwa makosa haya na yale yaliyotajwa hapo juu mtu wa namna hiyo atakuwa ametenda kosa la jinai ambalo ni kosa la uhaini

Aidha ifahamike kuwa kwa mtu yeyote atakayekutwa na hatia ya kutenda kosa la uhaini adhabu yake ni kifo na sheria hiyo ya kifo imeelezwa katika kifungu cha sheria namba 39 na 40 cha kanuni za adhabu.
Hivyo watanzania kwa umoja wetu tunapaswa kuzijua sheria za nchi yetu ili kuweza kujiepusha kutenda makosa ya jinai dhidi ya nchi yetu.



Iwe kwa faida yako na wengine kama wewe ambao una hisi kila mtu akitenguliwa basi amekataa nafasi hiyo...

Jitahidi kusoma kwa makini kila mstali uweze kupata uelewa...

Wenzio wakina Mbowe, Lema nk walipanda ndege kutoka dar kwenda ktk sherehe mwanza kwa Magufuli, walikuwa wana elewa haya. Wangeweza kusema wana umwa lakini ndio hivyo haikuwezekana
Mkuu umelenga nini hasa sijakupata!??
 
Soma reply yangu nzima. Mbona mnakuwa wagumu hivi, mnadhani Rais ni chuma au jiwe lile halielewi.

Kama unaumwa au una matatizo yako yatakayokuzuia kufanya kazi, au kama una ushauri unaweza toa na mkakubaliana na Rais ugumu uko wapi?

Narudia tena. Mtu yeyote anaweza kukataa kazi anayopewa na Rais na akatoa sababu wakakubaliana asiifanye. Lowassa alijiuzuru kuwa PM na akakubaliwa. TISS ingekuwa ya maajabu sana basi DG asingekuwa anapelekwa nje ya nchi angekuwa anauwawa. Mnaifanya TISS ionekane kundi la kishetani na waliopo ni majini
Wengi Si watu, ingawa Si wote.
 
Mama anaenda shindwa vibayaa..
Screenshot_20230105-161149.jpg
 
Appointments za hawa jamaa wakishaondoka au kuondolewa kwenye wadhifa, inakuwa very sensitive.
Wanaweza hata kupotea!
Wana siri nyingi mno.
Naunga mkono hoja, hata kilichomkuta Imran Kombe, wanaodhani ni bahati mbaya, watche waendelee kudhani!.

Tena kuna maofisa na maofisa, ukistaafishwa unakuwa huru kuishi popote na kwenda popote, hawa jamaa ukistaafishwa kwa manufaa ya umma, unarudishwa at the place of domicile uliyoandika ile siku unaajiriwa! Na Kyle unakabidhiwa mahali chini ya uangalizi.
Nimekikumbuka kisa cha Mzee Mayalla, kwenye ile kesi ya Mauaji Mwanza ya mwaka 1976, ni tulibebwa usiku usiku na defender 109 na kutembea usiku kucha, asubuhi kijijini!. Na wazee wa Kisukuma kwa kuponda raha, unakuta kijijini hujajenga !... we acha tuu mambo mengine usikumbuke... TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
P
 
Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.

Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula

I said.

=====

Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya kuwa katibu Mkuu Ikulu

Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu.


View attachment 2469861
Maza amemwaga MBOGA , sasa Diwani Athumani anamwaga UGALI
 
Mtu unaweza elewa raisi kutofikiria sana kwenye teuzi za huko kwenye serikali za mitaa. Asijali sana wateule wanaleta nini mezani so it’s OK watu kama kina ‘mama totoo’, Nikki wa Pili na ghasia wengine kujikuta wameulamba.

Lakini kukosea teuzi sensitive na kuwafuta watu kazi kabla ya ata kuanza ni kielelezo tosha ‘the lady is not serious on the job’ and doesn’t understand most roles serikalini as yet anateua akiambiwa roles za watu anapangua tena huko ni ofisini kwake. Sasa huko kwenye wizara si ndio balaa katujazia vilaza wala aoni shida kisa hayamuhusu.
 
Diwani kwa cheo cha muundo ni CP Kamishna wa Polisi na sio peke yake wapo akina WP. Kaganda na wengine anaweza kuwa na Naibu IGP kama ambavyo huko nyuma Magu aliundaga hicho cheo kimchongo baadae kikafa natural death
Acha upuuzi, Magufuli hajawahi kutengeneza cheo cha naibu IGP badala yake Magufuli ndiye aliyeondoa huo ujinga.
 
That was likely to happen.

Wala haishangazi, Athuman angepaswa kustaafu. Siyo kushushwa cheo kiasi kile ambapo sehemu ya maelekezo atapokea kutoka kwa aliyekuwa Junior kwake.
Kushushwa cheo kivipi? Idara ya usalama wa taifa iko chini ya Katibu Mkuu Ikulu. Sasa alishushwa vipi?
 
Kazi za secret service hazina masuala ya kukataa. Ukikataa unahesabika ni oathbreaker. Lakini, huyo jamaa Chilla ame-generalise teuzi zote za rais kuwa ni uhaini ukikataa. Hapo ndio amedhihirisha ukilaza wake.
Huyu mwenzetu kachukulia uhaini in a political sense.
Tofauti kabisa na Secret Service Oath na Code of Conduct.
 
Tena iyo Chief of staff ni tofauti kama ile ya kijazi na bashiru ile ni katibu mkuu kiongozi. Hii Diwani alitopewa ni katibu mkuu tuu. Kazi yake ilikuwa kuandaa mafaili tu yani alikuwa hana tofauti na secretary.
Acha uongo wewe.
 
Back
Top Bottom