Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Kuna katibu mkuu kiongozi kama kina kijazi na bashiru. Halafu kuna katibu mkuu tu ambayo ndio Diwani alipewa ambapo kazi yake ni kuandaa mafaili tu yani ni kama usecretary.Ila Chief of Staff ni Katibu Mkuu Kiongozi