Ukipata jibu hapo tutashtuana basi.Mbona huyo huyo Lema Kuna kipindi alimkosoa mhe. Lowassa kwa kutumia social network wakati lowassa yupo chama Cha chadema alipoenda kukutana na Magufuli ikulu mbona hakutumia vikao vya chama na Wala hakuchukuliwa hatua zozote na chama chake.Tusipende kutanguliza mahaba kwenye mambo ya msingi.
Kwahiyo kukosolewa hamtakiHakuwa na sababu ya kwenda kuongea na nyombo vya habari masuala yaliyotakiwa yajadiliwe ndani ya vikao vya chama. Huyo diwani ni kiongozi tena ni mmoja wa madiwani wanoheshimika Arusha alishindwa nini kushawishi kikao cha ndani kiitishwe?
Huyu diwani alishafika bei kimyakimya sema yeye aliona aibu kuunga juhudi hadharani badala yake kapitia njia nyingine. Haiwezekani ajifanye hajui sababu za madiwani na hata wabunge wa nyama vya upinzani kuacha nafasi zao na kuhamia upande mwingine? Lazima anajua manunuzi makubwa yanayofanywa na wenyewe kufika bei.
Hakuwa na sababu ya kwenda kuongea na nyombo vya habari masuala yaliyotakiwa yajadiliwe ndani ya vikao vya chama. Huyo diwani ni kiongozi tena ni mmoja wa madiwani wanoheshimika Arusha alishindwa nini kushawishi kikao cha ndani kiitishwe?
Huyu diwani alishafika bei kimyakimya sema yeye aliona aibu kuunga juhudi hadharani badala yake kapitia njia nyingine. Haiwezekani ajifanye hajui sababu za madiwani na hata wabunge wa nyama vya upinzani kuacha nafasi zao na kuhamia upande mwingine? Lazima anajua manunuzi makubwa yanayofanywa na wenyewe kufika bei.
Hapa upo sahihi kabisa. Ile kutoa tu mtazamo wake haikutosha kuondolewa uanachama mara moja tena ndani ya saa 24. Ilitakiwa onyo kwanza. Huyu diwani tunamfahamu vizuri, ni mtu committed na CDM pamoja na majukumu yake ya udiwani. Si mropokaji wala mkurupukaji. Kuna wakati Komu na Kubenea walileta hitilafu la kiuongozi ndani ya chama lakini chama kikamalizia mambo yao kimyakimya na wao kuomba msamaha. Kwanini haraka haraka kwa huyu diwani? Lema na wenzake ajipime, wanapwaya mno.
LEMA ANA U BILLIONAIRE GANI HASA? BAKHESA MWENYEWE NA UTAJIRI WOTE ULE BADO HAJAFIKIA U BILLIONAIRE.
Chama cha demokrasia kisichokuwa cha kidemokrasia.
Post ya kwanza nilikuwa namjibu mtu anayepiga propanga humu, post ya pili nilikuwa najadiliana na mtu mwenye akili timamu. Mimi na huyu wa pili tuna mtazamo unaofanana na wala siyo mwanachama wa CDM.Hivi huyu ni wewe au ni watu wawili tofauti?
Unashangaza sana!
Mkuu nisaidie, kwa mjib wa Barua katibu kata anaweza kumfukuza mwanAchama ubunge?Diwani wa Kata ya Ngarenaro kwa tiketi ya CHADEMA, Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema kuwa hajui kazi na majukumu yake kama kiongozi wa juu wa CHADEMA na pia kama Mbunge amefukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka kanuni na misingi ya uanachama wa chama.
Kufukuzwa Uanachama kunamfanya kupoteza hata Udiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa sababu Diwani lazima awe na udhamini kutoka chama cha siasa.
Ikumbukwe kuwa Juzi kupitia vyombo vya habari, Diwani Isaya alimtuhumu vikali Mbunge Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake kama Mbunge, Mwenyekiti wa Kanda na Mjumbe wa Kamati Kuu ambapo imesababisha chama kudhoofika na kukimbiwa na baadhi ya Madiwani wa Jiji la Arusha.
Ukitaka kusoma na kuangalia video ya tuhuma unaweza kugonga Link hii:
Link > CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake
Barua ya kumvua uanachama
Video ya tuhuma kwa Godbless Lema
Mkuu nisaidie, kwa mjib wa Barua katibu kata anaweza kumfukuza mwanAchama ubunge?
KatibA inasemAje(cdm) kuhusu kustishwa, kusimamishwa Au kufukuzwa uanachama?
Je mtu mmoja, kiongoz, kamati kuu au mkutAno mkuu ndo unauwezo?
Zingatia;
Mwandishi amejitambulisha kama katibu wa katA
na anamuandikiA mkurugenzi wa manicpal... hyo protocal ipoje wakuu,!! Nawaza t kwa saut
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hapa naona hamna uhuru wa kutoa maoni kwa Wanachadema.Chama cha demokrasia kisichokuwa cha kidemokrasia.
KabisaKama ambavyo wao wanakosoa, wao pia walipaswa wawe tayari kukosolewa.
Kama ambavyo wao wanakosoa, wao pia walipaswa wawe tayari kukosolewa.
Kumbe mnawaiga CCM? Mlitakiwa kuonyesha kuwa nyie ni tofauti na kuwa kwenu kuna uhuru wa kutoa mawazo kama jina leni linavyosema. Inawezekana kabisa huyu bwana ameitisha press conference baada ya kuona huko kwenye vikao hasikilizwi. Na kama anachosema ni kweli basi mwaka huu msitafute mchawi.Taratibu za kukosoana ziko kikatiba na zinapaswa kufuatwa.
Hivi huko ccm kiongozi mmoja anaweza itisha press na kumtuhumu wa juu yake badala ya vikao?
Sent using Jamii Forums mobile app
hawa wahuni wanadai Demokrasia wakati hawawaruhusu kukosolewaDiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa tiketi ya CHADEMA, Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema kuwa hajui kazi na majukumu yake kama kiongozi wa juu wa CHADEMA na pia kama Mbunge amefukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka kanuni na misingi ya uanachama wa chama.
Kufukuzwa Uanachama kunamfanya kupoteza hata Udiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa sababu Diwani lazima awe na udhamini kutoka chama cha siasa.
Ikumbukwe kuwa Juzi kupitia vyombo vya habari, Diwani Isaya alimtuhumu vikali Mbunge Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake kama Mbunge, Mwenyekiti wa Kanda na Mjumbe wa Kamati Kuu ambapo imesababisha chama kudhoofika na kukimbiwa na baadhi ya Madiwani wa Jiji la Arusha.
Ukitaka kusoma na kuangalia video ya tuhuma unaweza kugonga Link hii:
Link > CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake
Barua ya kumvua uanachama
Video ya tuhuma kwa Godbless Lema