Diwani Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema afukuzwa Uanachama

Ukipata jibu hapo tutashtuana basi.
 
Kwahiyo kukosolewa hamtaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyu ni wewe au ni watu wawili tofauti?

Unashangaza sana!

Hujisikii aibu kuwa unaonekana hujui unachokisimamia?
 
Hivi huyu ni wewe au ni watu wawili tofauti?



Unashangaza sana!
Post ya kwanza nilikuwa namjibu mtu anayepiga propanga humu, post ya pili nilikuwa najadiliana na mtu mwenye akili timamu. Mimi na huyu wa pili tuna mtazamo unaofanana na wala siyo mwanachama wa CDM.
 
Mkuu nisaidie, kwa mjib wa Barua katibu kata anaweza kumfukuza mwanAchama ubunge?

KatibA inasemAje(cdm) kuhusu kustishwa, kusimamishwa Au kufukuzwa uanachama?

Je mtu mmoja, kiongoz, kamati kuu au mkutAno mkuu ndo unauwezo?

Zingatia;
Mwandishi amejitambulisha kama katibu wa katA

na anamuandikiA mkurugenzi wa manicpal... hyo protocal ipoje wakuu,!! Nawaza t kwa saut

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA, kikao cha shina/kata kina uwezo wa kumfukuza uanachama mwanachama yoyote!
 
CHADEMA hakuna njia nyingine zaidi ya kutimuana, hata vikao vya majadiliano hakuna... Kwa nini msiwe mnajipa nafasi kabla ya kutimuana.!!
 
CHADEMA tangu kuundwa kwake sijawahi kusikia mwanachama anatoa hoja kinzani na anabaki salama,

Nafikiri kwenye hili wanapaswa kubadilika, vinginevyo wanaonekana ni WAHUNI tu

Haiwezekani wahubiri demokrasia wasiyoweza kuiishi.
 
Taratibu za kukosoana ziko kikatiba na zinapaswa kufuatwa.
Hivi huko ccm kiongozi mmoja anaweza itisha press na kumtuhumu wa juu yake badala ya vikao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mnawaiga CCM? Mlitakiwa kuonyesha kuwa nyie ni tofauti na kuwa kwenu kuna uhuru wa kutoa mawazo kama jina leni linavyosema. Inawezekana kabisa huyu bwana ameitisha press conference baada ya kuona huko kwenye vikao hasikilizwi. Na kama anachosema ni kweli basi mwaka huu msitafute mchawi.

Amandla....
 
hawa wahuni wanadai Demokrasia wakati hawawaruhusu kukosolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…