Diwani Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema afukuzwa Uanachama

Diwani Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema afukuzwa Uanachama

Tatizo letu ndo hilo tu.

Nazani hata JPM anaiga kwenu tabia ya ukimkosoa unakula kwenzi.

Alafu mnaamtafutia jina baya.
Zitto mlimtimua kwa kesi kama hizi yaani chama hakiitaji kukosolewa wala kushauliwa.

Yaani mnakunywa sumu CCM inaanda kaburi dawa anakufa nayo marehemu.
Ya Arusha huyajui
 
Madaraka kwanza halafu baadaye ndio watazungumzia matatizo ya wananchi waliowapa madaraka!

Godbless Lema wa leo ni milionea kama sio bilionea kutokana na biashara ya siasa!

Selfish politics is the order of the day!

Membe, Kinana na Makamba wanaitwa na ccm kwenda kujadili mradi gani wa maendeleo?
 
Me nipo neutral kwenye mambo ya vyama. Ila njia aliyoitumia Mhe. Diwani si ndio njia hiyo-hiyo mnayoitumia kwa washika dola?. Je!, alifanya sahihi kumkosoa au la?.
Kabla hata vyama havikusajiliwa kwanza vilitengeneza Katiba zake zikapelekwa kwa msajili na kuruhusiwa kutumika , ni lazima mwanachama yeyote afuate katiba ya chama chake , vinginevyo atafutwa uanachama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo letu ndo hilo tu.

Nazani hata JPM anaiga kwenu tabia ya ukimkosoa unakula kwenzi.

Alafu mnaamtafutia jina baya.
Zitto mlimtimua kwa kesi kama hizi yaani chama hakiitaji kukosolewa wala kushauliwa.

Yaani mnakunywa sumu CCM inaanda kaburi dawa anakufa nayo marehemu.

Uko sahihi mno, Zito alitimuliwa na cdm akaenda kuanzisha chama kisa huko cdm hakukuwa na demokrasia, aliokwenda nao wakionyesha kunyimwa demokrasia ni Kitila Mkumbo, Anna Mghwira, afande Sele nk. Leo bado wako ACT? Je wakati wanahama walisema nini kuhusu Zito?
 
Diwani wa Kata ya Ngarenaro kwa tiketi ya CHADEMA, Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema kuwa hajui kazi na majukumu yake kama kiongozi wa juu wa CHADEMA na pia kama Mbunge amefukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka kanuni na misingi ya uanachama wa chama.

Kufukuzwa Uanachama kunamfanya kupoteza hata Udiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa sababu Diwani lazima awe na udhamini kutoka chama cha siasa.

Ikumbukwe kuwa Juzi kupitia vyombo vya habari, Diwani Isaya alimtuhumu vikali Mbunge Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake kama Mbunge, Mwenyekiti wa Kanda na Mjumbe wa Kamati Kuu ambapo imesababisha chama kudhoofika na kukimbiwa na baadhi ya Madiwani wa Jiji la Arusha.

Ukitaka kusoma na kuangalia video ya tuhuma unaweza kugonga Link hii:

Link > CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake


Barua ya kumvua uanachama
EPUVdxeXUAA597w


Video ya tuhuma kwa Godbless Lema

Katibu wa Kata wa Chama ana uwezo huo wa kumfukuza uanachama na uongozi
 
Eti chama.cha demokrasia na maendeleo,ujinga mtupu,acha Magufuli awaburuze tu
Diwani wa Kata ya Ngarenaro kwa tiketi ya CHADEMA, Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema kuwa hajui kazi na majukumu yake kama kiongozi wa juu wa CHADEMA na pia kama Mbunge amefukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka kanuni na misingi ya uanachama wa chama.

Kufukuzwa Uanachama kunamfanya kupoteza hata Udiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa sababu Diwani lazima awe na udhamini kutoka chama cha siasa.

Ikumbukwe kuwa Juzi kupitia vyombo vya habari, Diwani Isaya alimtuhumu vikali Mbunge Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake kama Mbunge, Mwenyekiti wa Kanda na Mjumbe wa Kamati Kuu ambapo imesababisha chama kudhoofika na kukimbiwa na baadhi ya Madiwani wa Jiji la Arusha.

Ukitaka kusoma na kuangalia video ya tuhuma unaweza kugonga Link hii:

Link > CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake


Barua ya kumvua uanachama
EPUVdxeXUAA597w


Video ya tuhuma kwa Godbless Lema


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diwani wa Kata ya Ngarenaro kwa tiketi ya CHADEMA, Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema kuwa hajui kazi na majukumu yake kama kiongozi wa juu wa CHADEMA na pia kama Mbunge amefukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka kanuni na misingi ya uanachama wa chama.

Kufukuzwa Uanachama kunamfanya kupoteza hata Udiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa sababu Diwani lazima awe na udhamini kutoka chama cha siasa.

Ikumbukwe kuwa Juzi kupitia vyombo vya habari, Diwani Isaya alimtuhumu vikali Mbunge Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake kama Mbunge, Mwenyekiti wa Kanda na Mjumbe wa Kamati Kuu ambapo imesababisha chama kudhoofika na kukimbiwa na baadhi ya Madiwani wa Jiji la Arusha.

Ukitaka kusoma na kuangalia video ya tuhuma unaweza kugonga Link hii:

Link > CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake


Barua ya kumvua uanachama
EPUVdxeXUAA597w


Video ya tuhuma kwa Godbless Lema


Chama cha "DEMOKRASIA" hiki!
na ashukuru hayajamkuta ya Tundu.
 
Uko sahihi mno, Zito alitimuliwa na cdm akaenda kuanzisha chama kisa huko cdm hakukuwa na demokrasia, aliokwenda nao wakionyesha kunyimwa demokrasia ni Kitila Mkumbo, Anna Mghwira, afande Sele nk. Leo bado wako ACT? Je wakati wanahama walisema nini kuhusu Zito?
Kuhama ni tofauti na kufukuzwa. Katika hai nani amefukuzwa?

Amandla......
 
Ni zamu yake kuburuza, ila hata yeye ataburuzwa tu, nani alitarajia Lowassa, Membe, Sumaye nk nao wataburuzwa?
Kweli Mkuu.
...Yaani unamgusa hadi JOYCE, halafu tukuangalie tu eti demokrasia?
Watch out, Not to that extent.
 
Utaratibu wa chama ufuatwe. Nyie akina January kuongea tu kwenye simu in person wala si hadharani wakalazimika kutembea kwa magoti. Wangeongea na vyombo bus habari ingekuwaje? Si wangeenda kuomba msahama kifudifudi?
Me sio CCM Wala Sina chama chochote Cha siasa nimezungumza kutokana na reality.
 
Back
Top Bottom