Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ya Arusha huyajuiTatizo letu ndo hilo tu.
Nazani hata JPM anaiga kwenu tabia ya ukimkosoa unakula kwenzi.
Alafu mnaamtafutia jina baya.
Zitto mlimtimua kwa kesi kama hizi yaani chama hakiitaji kukosolewa wala kushauliwa.
Yaani mnakunywa sumu CCM inaanda kaburi dawa anakufa nayo marehemu.
Kabla hata vyama havikusajiliwa kwanza vilitengeneza Katiba zake zikapelekwa kwa msajili na kuruhusiwa kutumika , ni lazima mwanachama yeyote afuate katiba ya chama chake , vinginevyo atafutwa uanachamaHivi vyama aisee! Hapa na Pale wote wamoja tu. Mambo ni yale-yale, kasoro rangi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu atakuwa Diwani wa 14 kuondoka CHADEMA katika Jiji la Arusha!
Madaraka kwanza halafu baadaye ndio watazungumzia matatizo ya wananchi waliowapa madaraka!
Godbless Lema wa leo ni milionea kama sio bilionea kutokana na biashara ya siasa!
Selfish politics is the order of the day!
Kabla hata vyama havikusajiliwa kwanza vilitengeneza Katiba zake zikapelekwa kwa msajili na kuruhusiwa kutumika , ni lazima mwanachama yeyote afuate katiba ya chama chake , vinginevyo atafutwa uanachama
Tatizo letu ndo hilo tu.
Nazani hata JPM anaiga kwenu tabia ya ukimkosoa unakula kwenzi.
Alafu mnaamtafutia jina baya.
Zitto mlimtimua kwa kesi kama hizi yaani chama hakiitaji kukosolewa wala kushauliwa.
Yaani mnakunywa sumu CCM inaanda kaburi dawa anakufa nayo marehemu.
Katibu wa Kata wa Chama ana uwezo huo wa kumfukuza uanachama na uongoziDiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa tiketi ya CHADEMA, Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema kuwa hajui kazi na majukumu yake kama kiongozi wa juu wa CHADEMA na pia kama Mbunge amefukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka kanuni na misingi ya uanachama wa chama.
Kufukuzwa Uanachama kunamfanya kupoteza hata Udiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa sababu Diwani lazima awe na udhamini kutoka chama cha siasa.
Ikumbukwe kuwa Juzi kupitia vyombo vya habari, Diwani Isaya alimtuhumu vikali Mbunge Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake kama Mbunge, Mwenyekiti wa Kanda na Mjumbe wa Kamati Kuu ambapo imesababisha chama kudhoofika na kukimbiwa na baadhi ya Madiwani wa Jiji la Arusha.
Ukitaka kusoma na kuangalia video ya tuhuma unaweza kugonga Link hii:
Link > CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake
Barua ya kumvua uanachama
Video ya tuhuma kwa Godbless Lema
Me nipo neutral kwenye mambo ya vyama. Ila njia aliyoitumia Mhe. Diwani si ndio njia hiyo-hiyo mnayoitumia kwa washika dola?. Je!, alifanya sahihi kumkosoa au la?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Diwani wa Kata ya Ngarenaro kwa tiketi ya CHADEMA, Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema kuwa hajui kazi na majukumu yake kama kiongozi wa juu wa CHADEMA na pia kama Mbunge amefukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka kanuni na misingi ya uanachama wa chama.
Kufukuzwa Uanachama kunamfanya kupoteza hata Udiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa sababu Diwani lazima awe na udhamini kutoka chama cha siasa.
Ikumbukwe kuwa Juzi kupitia vyombo vya habari, Diwani Isaya alimtuhumu vikali Mbunge Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake kama Mbunge, Mwenyekiti wa Kanda na Mjumbe wa Kamati Kuu ambapo imesababisha chama kudhoofika na kukimbiwa na baadhi ya Madiwani wa Jiji la Arusha.
Ukitaka kusoma na kuangalia video ya tuhuma unaweza kugonga Link hii:
Link > CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake
Barua ya kumvua uanachama
Video ya tuhuma kwa Godbless Lema
Diwani wa Kata ya Ngarenaro kwa tiketi ya CHADEMA, Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema kuwa hajui kazi na majukumu yake kama kiongozi wa juu wa CHADEMA na pia kama Mbunge amefukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka kanuni na misingi ya uanachama wa chama.
Kufukuzwa Uanachama kunamfanya kupoteza hata Udiwani wa Kata ya Ngarenaro kwa sababu Diwani lazima awe na udhamini kutoka chama cha siasa.
Ikumbukwe kuwa Juzi kupitia vyombo vya habari, Diwani Isaya alimtuhumu vikali Mbunge Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake kama Mbunge, Mwenyekiti wa Kanda na Mjumbe wa Kamati Kuu ambapo imesababisha chama kudhoofika na kukimbiwa na baadhi ya Madiwani wa Jiji la Arusha.
Ukitaka kusoma na kuangalia video ya tuhuma unaweza kugonga Link hii:
Link > CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake
Barua ya kumvua uanachama
Video ya tuhuma kwa Godbless Lema
Kwa mwendo huu wa kuambiwa ukweli watafukuzwa wengi!
Huyu atakuwa Diwani wa 14 kuondoka CHADEMA katika Jiji la Arusha!
Eti chama.cha demokrasia na maendeleo,ujinga mtupu,acha Magufuli awaburuze tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watch out!Kama ambavyo wao wanakosoa, wao pia walipaswa wawe tayari kukosolewa.
Kuhama ni tofauti na kufukuzwa. Katika hai nani amefukuzwa?Uko sahihi mno, Zito alitimuliwa na cdm akaenda kuanzisha chama kisa huko cdm hakukuwa na demokrasia, aliokwenda nao wakionyesha kunyimwa demokrasia ni Kitila Mkumbo, Anna Mghwira, afande Sele nk. Leo bado wako ACT? Je wakati wanahama walisema nini kuhusu Zito?
Kweli Mkuu.Ni zamu yake kuburuza, ila hata yeye ataburuzwa tu, nani alitarajia Lowassa, Membe, Sumaye nk nao wataburuzwa?
Definitely.Democracy is not a kin to an African culture
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Daah Doita amepishana na fungu kutoka kwa wanunuzi maana amewahiwa kabla hajaunga mkono juhudi.
dodge
Me sio CCM Wala Sina chama chochote Cha siasa nimezungumza kutokana na reality.Utaratibu wa chama ufuatwe. Nyie akina January kuongea tu kwenye simu in person wala si hadharani wakalazimika kutembea kwa magoti. Wangeongea na vyombo bus habari ingekuwaje? Si wangeenda kuomba msahama kifudifudi?