Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Huyu mwehu ni wakupiga ban mazima, hivi huyu ukimuuliza hilo shamba ni la heka ngapi ambalo limemfanya mbowe aue atajua?
 
Mbowe ameuwa wengi sana zipo pia tetesi za kutaka kumuuwa zito. Kupanga mumuuwa Dada yeke kisa mali za ukoo kumbuka huyu Dada alikufa kama Regia mtema na chacha Wagwe vifo vyao vinamalalamiko ya mbowe kuhusika

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini kila anayegombea uenyekiti CDM huhama chama?
Wangwe ....rip
Zitto ....alikimbia
Sumaye... Alikimbia
Mwambe... alikimbia

Mbowe Ana Nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khabbith kwel ww,Namshukuru Allah amenijaalia kuwa na kipato kizur tu na kuweza kumiliki wake wawili na watt sita kama wataka kuwa mke watatu ucjal kama vgezo utakuwa navyo nitakuongeza ok

Sent using Jamii Forums mobile app
maisha ya tanzania ni mazuri sana wake wawili na watoto sita wote wanasoma shule za kulipia.
na una usafiri na nyumba.
hii ndo faida ya serikali makini inayosimamia uchumi kwa watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti jina silikumbuki vzr.....pumbafu
 
Waliompiga risasi Tundu Lissu wanajulikana, walikuwa wakizunguka na gari jeupe la TISS. Ninyi kama hilo gari jeupe la Serikali ya Tanzania na TISS mlimpa Mbowe basi mkamateni. WALIOMPIGA RISASI LISSU NA HAO WENGINE NI HAO HAO WALIOMVUA UBUNGE NA KUMNYIMA MATIBABU YAKE YA MSINGI. Na hao hao wanaoteka watu na kuwafunga kwa makosa yasiyo na kichwa wala miguu. Kama huyo ni Mbowe basi mkamateni. Tokea Magufuli ameingia Madarakani nchi yetu imekuwa ya ovyo....Mnachoweza ni kuteka na kuuwa wasio na hatia nyani nyiye!
 
Kwann unadhani aliyoyaandika ni ya kijinga? Au kwa kuwa wewe uko kwenye mrengo sawa na Mbowe ndo maana huamini chochote kinachosemwa dhidi yake?
Umesoma alichoandika? Kila sentensi ameandika kwamba hana ushahidi wa alichoandika. Sasa tujadiliane nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…