Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Bi Ashura yuko vizuri, maana alifundwa uZaramuni na akapikika...🤣🤣 maana amejua kuikula pesa ya mh Diwani mpaka ikapukutika, na mwisho akasingizia alifika amelewa.
Bahati mbaya Muliro akajaa kwenye 18 za Bi Ashura, na picha likahitimishwa kwamba mh diwani alikutwa amelewa for 2 months, ACP amemkabidhi kwa ndugu zake wakamtibu "milembe"....🤣🤣
Naskia paka ametoka nje, sasa huku ndani panya wana panda hadi juu ya feni zinazo zunguka...😜😜
 
Bi Ashura lazima atakuwa alikuwa anaiminyia ndani...
 
Bi Ashura lazima atakuwa alikuwa anaiminyia ndani...
Akujuwaga na mahusiano na jamaa mmja namjua kitambo sana,anaitwa rama baunsa kwa watu waliyokaa Kino watamjua,jamaa aliporwa na macheni jamaa mpaka leo kama kadata fulani
Katikati tena kuna mtu namjua mbongo anaishi ujerumani mtoto wa stereo eti alitaka kumuoaa na amchkue ampeleke nje
I Ilibidi watu tukae kamati tumuweke chini jamaa tumulize,kichwan yuko sawa au alipewa nn
Alikuwaga na bar yake Togo pale mabalaa ndani yalikuwa yakifanyika si ya kitoto
Inshort ni mwanamke ukiwa naye lazima upoteee
Mimi akinionaga ananitaka kaka
Kana mambo mengi haka kadada

Ova
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe huyo ni Ashura Macheni,ukitaka kumjua muulize Rama,halafu akaja Macheni,wote walipulurwa mpk senti ya mwisho.
Huyo bwege kaenda kuzoa maradhi tu hapo.
Demu hana ushamba we hela.
Rama baunsa alipopigwa chini alipagawa....
Longtime nakumbuka tulikujaga na gari Toyota rider zile pickup kutoka afrika kusini,rama aliuzaga hela yote akaenda kula naye wakati ule rama anakaa ufipa,tuliwasaka sana tukawagumia hotel,tulienda kwake tulibeba vitu vyote tujifidie
Ashura anapenda raha bana

Ova
 
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3] hutaki akupitie nawee?
 
Asante Mrangi kwa kazi nzuri ambayo kama bila wewe Jeshi la polisi kuanzia RPC na mkuu wa Jeshi la polisi wangechafuka kuwa huyo diwani katekwa na wasiojulikana kumbe yuko kwenye kifua cha malaya analia nipe nipe kingine nasikia nyege
Hahaha

Hawa walikuwa wanakula pipi tu

Yaani hyo diwan kaingia huko karelia

Mazima...sema kwa tabia za ashura

Lazima jamaa amependa kuwa naye

Nahs vyombo vya dola, familia kama watakuwa wamegundua wamsaidie diwani

Ova
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu....
Ebu naomba unipoteze maana nami ni diwani huku Lyambamigongo....😜😜
 
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3] hutaki akupitie nawee?
Mtoto mdogo sana kwqngu huyo
Hao tumewafundisha kuvaa na nkupendeza ujue

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…