wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Sema mwenye nyota ya kutiwa tiwa.Ashura mwanamke mwenzetu mwenye nyota ya kung'aa uishi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema mwenye nyota ya kutiwa tiwa.Ashura mwanamke mwenzetu mwenye nyota ya kung'aa uishi sana.
Shida ya Uchungaji wa kurithi 😅😅😅😅😅Ana mke na watoto. Pia Mutta ni mchungaji kwenye kanisa alililoliacha mama yao.Yaani ni shida. Imagine mke haujui mmeo yupo wapi kwa miezi 3.
Mrangiiiiiiiiiiiiii brazaaaaa utakuwa ushapigaaaaa.Akujuwaga na mahusiano na jamaa mmja namjua kitambo sana,anaitwa rama baunsa kwa watu waliyokaa Kino watamjua,jamaa aliporwa na macheni jamaa mpaka leo kama kadata fulani
Katikati tena kuna mtu namjua mbongo anaishi ujerumani mtoto wa stereo eti alitaka kumuoaa na amchkue ampeleke nje
I Ilibidi watu tukae kamati tumuweke chini jamaa tumulize,kichwan yuko sawa au alipewa nn
Alikuwaga na bar yake Togo pale mabalaa ndani yalikuwa yakifanyika si ya kitoto
Inshort ni mwanamke ukiwa naye lazima upoteee
Mimi akinionaga ananitaka kaka
Kana mambo mengi haka kadada
Ova
HahahaWewe si mtu mzuri.
Usikute na chabo ulikuwa unawapiga kabisa
Hamna mzeeMrangiiiiiiiiiiiiii brazaaaaa utakuwa ushapigaaaaa.
Watu wanababaikia jina tu wawe naye nao wawe maarufu hakuna jipyaAshura huyu demu anatumia dawa gani? kala hela za marehemu mcheni kamfilisi vijihela vilivyokuwa vimebaki akafungua ka bar pale karibu na mateja mwananyamala kituoni sijui bado ipo?
yaani uliikuwa unamkuta marehemu macheni pale anatia huruma na macheni yake sijui feki yale halafu bibiye pembeni kapakatwa na yule m congo muimbaji wa Diamond sound anaitwa liva sultan ambaye alikuwa analelelewa na huyu dada
kuna ukweli gani wakati huyu jamaa ni mchungaji msaidizi wa kanisa la mama yake nadhani wiki hizi ndo kateuliwa kuwa mchungaji msaidizi.Hawa watoto wanamdhalilisha Sana marehemu mama Yao mhe. Rwakatale..
Hii code ya ASHA ALLY MATITU naijua vilivyo... Leo utatoa yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
Haaaahelaiishe huyoanapondaheLa zaHela imeisha
Akapambane na maisha yake
Ashura mbinguni moja kwa moja
huamini kuwa ni kaka yake? Si unaona hata maza alimjua?Taarifa ya Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam ya Mei 24, 2022 imeeleza kuwa wamefanikiwa kumkamata Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu Februari, 2022 akikutwa nyumbani kwa Bi Ashura Ally mitaa ya Tabata.
Sasa Ashura mwenyewe amesema kuwa Diwani huyo ni kaka yake na alifika nyumbani hapo kwa nia ya kumsalimia tu.
Chanzo: Jahazi (Clouds FM)
Nilikua mitaa hiyo nacheck movie lote.huyo rama kadata mpk leo sijui km kaponaRama baunsa alipopigwa chini alipagawa....
Longtime nakumbuka tulikujaga na gari Toyota rider zile pickup kutoka afrika kusini,rama aliuzaga hela yote akaenda kula naye wakati ule rama anakaa ufipa,tuliwasaka sana tukawagumia hotel,tulienda kwake tulibeba vitu vyote tujifidie
Ashura anapenda raha bana
Ova
MamaeeZigo la kuvunja chaga
USSR View attachment 2237076View attachment 2237077View attachment 2237078View attachment 2237079
Tena enatea aiboooooEnaseketeshaaaaaaaaaaaaa
kwani uchunguzi ni nini? hawawezi kumhoji mhusika au mwanamke akaeleza hayoTaarifa yao ya ugunduzi haijitoshelezi, nilidhani wewe umewaelewa vyema hasa kuhusu jibu la swali linaloulizwa na wengi
"Tangu Feb alipotoweka alihamia kwa huyo mdada?
Labda kaanza kula Ngada!!!Mtoto wa marehemu mtumishi amejidhalilisha
Huyo jamaa si ndo yule mtoto wa marehem Getrude Rwakatale aliekua anajitambulisha kwenye msiba kuwa..
Mimi ndiye mtoto wa muheshimiwa Getrd Rwakatale naitwa Muheshimiwa Rutta Rwakatale
Kwa sasa tumekutana familia Kaka yangu Muheshimiwa ... Na dada yangu Muheshimiwa ...
Baada ya kikao waheshimiwa tutatoa ratiba kamili ya mazishi ya Muheshimiwa mama yangu
Yaan kila kitu muheshimiwa sahivi ukimuhoji utaskia.. Nilikua kwa Muheshimiwa mpenzi wangu Ashura