Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ni mtoto wa Mchungaji wa kisulisuli?Hawa watoto wanamdhalilisha Sana marehemu mama Yao mhe. Rwakatale..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtoto wa Mchungaji wa kisulisuli?Hawa watoto wanamdhalilisha Sana marehemu mama Yao mhe. Rwakatale..
Hapo ndio unajiuliza kulikuwa na ulazima gani wa kumwanika mambo yake.Polisi imewavunjia faragha zao diwani na Bi. Ashura.
Wangesema amepatikana tu na kuwaachia waandishi wa habari za udaku hayo mengine
Nina mashaka na hizi Tuhuma Zako kama ni za Kweli, haiwezekani Mtu ana tuhuma zaidi ya Elfu Moja na zinajulikana alafu mnamuacha aendelee kuwa Diwani wenu, basi nyinyi ndio wapuuzi na hamna akili.Jamaa anakesi kama buku pale kawe kituo cha polisi na wanakula nae sahan moja
Na anapigia gambe pale triple 7
Kuna siku kalewa akagonga ule ukuta wa club laroca pale kawe ukwamani
Yaa, nafikiri hapa hawakufanya kazi kiweledi......wangesema tu amepatikana akiwa hana tatizo lolote, wakaacha mambo mengine waendelee nayo watu wa habari za udaku.Hapo ndio unajiuliza kulikuwa na ulazima gani wa kumwanika mambo yake.
Hawaheshimu privacy za watu kabisa.
Wamemuharibia kuanzia kwenye familia yake mpaka kwenye jamii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wahi bas utanikuta hapa tabata Bima.Mkuu....
Ebu naomba unipoteze maana nami ni diwani huku Lyambamigongo....[emoji12][emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas hatareeeh.Mtoto mdogo sana kwqngu huyo
Hao tumewafundisha kuvaa na nkupendeza ujue
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] puliiiiiizzzz bhana. Eti nn?Hii code ya ASHA ALLY MATITU naijua vilivyo... Leo utatoa yote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] nataman kuonana na Ashura wallah.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ashura awekewe kikao Cha dharura[emoji119]
Ashura unamjua vizuri lakn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ninavyowajua hawa watani zangu kwa mibebez, siamini kama wanaweza kutulizwa na mzaramu namna hii......
Sasa bosi wangu, unayemhurumia ni huyo mtu mzima ambaye ni kichwapanzi?Yes mke ninamuonea huruma. Halafu huyo Ashura Macheni wanasema alikuwa mke wa Hussein Macheni ambae ni marehemu. Inasemekana ana moto.
😂😂🤣Sasa nawee una u legend gan,? Hebu huko tena wee ndo ungefia kwenye mpododo huo. Umeona traaaaakoooo hilo? La kuombea mkopo IMF
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji1787]
We mtoto weee.. acha nifunike kombe mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] Ashura hataki masikhara na pesa kabisa.Ukweli ni pesa yake imekata... Mwanamke kaona amtimue tu....hadi hapo kibubu kikiwa sawa arejee aendelee kupewa mikito ya kizaramo.
Waislamu unaishi nao vipi mtaani kwakoAshura ajengewe sanamu, kamwakilisha vyema mnyaazi katika yale maandalizi ya midume 72.🤣
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ashura hataki masikhara na pesa kabisa.![]()
Mkuu hujapita kweli hapo maana ndio pisi uzipendazo hizi.Akujuwaga na mahusiano na jamaa mmja namjua kitambo sana,anaitwa rama baunsa kwa watu waliyokaa Kino watamjua,jamaa aliporwa na macheni jamaa mpaka leo kama kadata fulani
Katikati tena kuna mtu namjua mbongo anaishi ujerumani mtoto wa stereo eti alitaka kumuoaa na amchkue ampeleke nje
I Ilibidi watu tukae kamati tumuweke chini jamaa tumulize,kichwan yuko sawa au alipewa nn
Alikuwaga na bar yake Togo pale mabalaa ndani yalikuwa yakifanyika si ya kitoto
Inshort ni mwanamke ukiwa naye lazima upoteee
Mimi akinionaga ananitaka kaka
Kana mambo mengi haka kadada
Ova
Please,naomba unitafutie Ashura mmoja kutoka kwenye eneo unaloishi!Hela imeisha
Akapambane na maisha yake
Ashura mbinguni moja kwa moja