Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Akujuwaga na mahusiano na jamaa mmja namjua kitambo sana,anaitwa rama baunsa kwa watu waliyokaa Kino watamjua,jamaa aliporwa na macheni jamaa mpaka leo kama kadata fulani
Katikati tena kuna mtu namjua mbongo anaishi ujerumani mtoto wa stereo eti alitaka kumuoaa na amchkue ampeleke nje
I Ilibidi watu tukae kamati tumuweke chini jamaa tumulize,kichwan yuko sawa au alipewa nn
Alikuwaga na bar yake Togo pale mabalaa ndani yalikuwa yakifanyika si ya kitoto
Inshort ni mwanamke ukiwa naye lazima upoteee
Mimi akinionaga ananitaka kaka
Kana mambo mengi haka kadada

Ova
Duh!!.. ni hatari huyo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bado wee, tena wee ndo utafia kifuani kabisaaa.
Wewe si ulinipiga kibuti? Uliona nitafaidi sana. Mi namwachia Mungu. Iko siku utanikumbuka
 
Ashura huyu demu anatumia dawa gani? kala hela za marehemu mcheni kamfilisi vijihela vilivyokuwa vimebaki akafungua ka bar pale karibu na mateja mwananyamala kituoni sijui bado ipo?
yaani uliikuwa unamkuta marehemu macheni pale anatia huruma na macheni yake sijui feki yale halafu bibiye pembeni kapakatwa na yule m congo muimbaji wa Diamond sound anaitwa liva sultan ambaye alikuwa analelelewa na huyu dada
He!!,...Macheni nae mtoto wa mjini alilewa nini.
Bora ameenda kupumzika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeeeh na malipo ya chimbo ndo umekausha? Au unataka mwenzio nisionekane mwezi mzima?
Usiniafanyie hivyo lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nalipaje bila account namba..😂🤣

Halafu pesa yangu unataka uile kazi usiifanye, chimbo umegoma kunitajia.
Yaani kuliwe kwa mwali tu,halafu kwa kungwi kusiliwe. Vibaya hivyo.
 
Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.

Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.


Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
Hata mimi ninatamani nipotee kwa staili hii. Hii mijimama ya Kizaramo inajua sana. Nataka nikamuliwe haswa,nikitoka huko naanza moja.
 
Nina mashaka na hizi Tuhuma Zako kama ni za Kweli, haiwezekani Mtu ana tuhuma zaidi ya Elfu Moja na zinajulikana alafu mnamuacha aendelee kuwa Diwani wenu, basi nyinyi ndio wapuuzi na hamna akili.
Duu mkuu kama huamini muulize mtu kama mrangi atakuwa ana mjua vema Muta sijamjua leo wala jana

Huyo ana kesi za viwanja km zote pale kawe
 
Ashura ajengewe sanamu, kamwakilisha vyema mnyaazi katika yale maandalizi ya midume 72.🤣
IMG-20220525-WA0014.jpg
 
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mzaramo mchezo? Ukute amempa limbwata la kisasa, hachomoki kamweeeee.
Kwanin mnawaza limbwata tuu na sio mambo mengine[emoji23][emoji23]?labda inawezekana Ashura anachompa jamaa mke wake hawezi kumpa [emoji9][emoji849]
 
Duu mkuu kama huamini muulize mtu kama mrangi atakuwa ana mjua vema Muta sijamjua leo wala jana

Huyo ana kesi za viwanja km zote pale kawe
Kesi inatakiwa iwe Mahakamani na Sio Polisi. Polisi ni tuhuma tu. Mimi mwenyewe namfahamu Muta pia tumeishi nae Kkoo kabla hawajahamia Mikocheni na US Alabama ili mimi nilitangulia kurudi Bongo. Namfahamu tumekua wote.
 
Back
Top Bottom