Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Inasikitisha madawa ya kulevya kabisa yamemuharibu. Mkewe aachane kabisa.Ikute kuna watu wanamwambia vumilia tu.
Kuendelea kuishi na Mwanaume kama huyo yataka mwanamke mwenye moyo wa Chuma .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha madawa ya kulevya kabisa yamemuharibu. Mkewe aachane kabisa.Ikute kuna watu wanamwambia vumilia tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] hebu njoo tabata sanene hapa nikuteke.Wewe si ulinipiga kibuti? Uliona nitafaidi sana. Mi namwachia Mungu. Iko siku utanikumbuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] teeeenaaaaah???Sasa nalipaje bila account namba..[emoji23][emoji1787]
Halafu pesa yangu unataka uile kazi usiifanye, chimbo umegoma kunitajia.
Yaani kuliwe kwa mwali tu,halafu kwa kungwi kusiliwe. Vibaya hivyo.
Wewe hebu acha masihara upo sanene ?![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] hebu njoo tabata sanene hapa nikuteke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeh tupu.Tumuulize Tegete alikuwa anapewa nini maana alifungiwa hivihivi kuachiwa na mpira umeisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo hilo limbwata la kisasa, sikutaka nitoboe zaidi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanin mnawaza limbwata tuu na sio mambo mengine[emoji23][emoji23]?labda inawezekana Ashura anachompa jamaa mke wake hawezi kumpa [emoji9][emoji849]
Kheeeeeeeeh???Kitambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Huyu hana kosa karudisha mpira kwa golikipa
Ndyoooooo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe hebu acha masihara upo sanene ?!View attachment 2238614
Huyu jamaa kwa muonekano ni mlevi haswaa pia yupo kama drug addictJamaa alitumika haswa mana amechoka kweli unaweza sema ni mnywa gongo na vimiguu vyembamba kweli😂
Yes anaonekana yuko very weak...afu ni mchungaji pale kanisan kwa marehemu mama akeHuyu jamaa kwa muonekano ni mlevi haswaa pia yupo kama drug addict
Ni mtumishi mwenye upakoWhy masanja?!
Na vimiguu vyake daah 🤣🤣🤣Yes anaonekana yuko very weak...afu ni mchungaji pale kanisan kwa marehemu mama ake
Usiponiteka najiteka. Chura unayo lakini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] hebu njoo tabata sanene hapa nikuteke.
Tusubirie kikue tu..!!Ninanyonyesha kichanga. Siwezi potea.
Sijakubishia Mkuu, nimekwambia hizo ni tuhuma, Kesi huamuliwa Mahakamani.Mkuu kwani we mtu akikuibia unaenda kuripoti wapi?
RB unapewa wapi?
Km huamini nenda pale kawe polisi kaulize ma file yake
Sio chura, ni mchura,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiponiteka najiteka. Chura unayo lakini?
Huyo big body Alisha anza michezo ya so...ma ni mwehu.Akujuwaga na mahusiano na jamaa mmja namjua kitambo sana,anaitwa rama baunsa kwa watu waliyokaa Kino watamjua,jamaa aliporwa na macheni jamaa mpaka leo kama kadata fulani
Katikati tena kuna mtu namjua mbongo anaishi ujerumani mtoto wa stereo eti alitaka kumuoaa na amchkue ampeleke nje
I Ilibidi watu tukae kamati tumuweke chini jamaa tumulize,kichwan yuko sawa au alipewa nn
Alikuwaga na bar yake Togo pale mabalaa ndani yalikuwa yakifanyika si ya kitoto
Inshort ni mwanamke ukiwa naye lazima upoteee
Mimi akinionaga ananitaka kaka
Kana mambo mengi haka kadada
Ova