Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Huo basi siji Tabata. Kibamia changu kitaishia kwenye mashavu.Sio chura, ni mchura,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo basi siji Tabata. Kibamia changu kitaishia kwenye mashavu.Sio chura, ni mchura,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23] poleeeeh.Huo basi siji Tabata. Kibamia changu kitaishia kwenye mashavu.
Ahsante sana. Endelea na mamishedede yako. Kizazi kikisogezwa usije hospitalini kwangu[emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23] poleeeeh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mikunyenge kwa kwenda mbele, sasa raha ya mzagamuo nn? Unazama had utumbo unapanda juuu.Ahsante sana. Endelea na mamishedede yako. Kizazi kikisogezwa usije hospitalini kwangu
Si yule mwenye macho mekundu [emoji23]Uyo jamaa ni teja mkubwa tu
ICT ni chama gani hichoHao ndiyo genge linalotuongoza, ingetosha ICT kureplace baadhi ya nafasi za kisiasa nchini
Angeonekana akitoa huduma katani.Huyo Ashura Ahojiwe vizuri Usikute Keshahongwa na Jimbo lenyewe.
Kura za maruaniKama ni mlevi hivyo ilikuwaje wananchi wa Kawe wakamchagua kuwa diwani wao?!
Au ndo yale mambo ya kura za kupewa mezani!
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo jamaa si ndo yule mtoto wa marehem Getrude Rwakatale aliekua anajitambulisha kwenye msiba kuwa..
Mimi ndiye mtoto wa muheshimiwa Getrd Rwakatale naitwa Muheshimiwa Rutta Rwakatale
Kwa sasa tumekutana familia Kaka yangu Muheshimiwa ... Na dada yangu Muheshimiwa ...
Baada ya kikao waheshimiwa tutatoa ratiba kamili ya mazishi ya Muheshimiwa mama yangu
Yaan kila kitu muheshimiwa sahivi ukimuhoji utaskia.. Nilikua kwa Muheshimiwa mpenzi wangu Ashura
NaafikiHuyo ni diwani wa mchongo
Huyo hatukumchagua sisi.Mzee alimchongea huko.Sijui mzee alimwonaje kwani hata sisi tulishangaa.Wako wengi wa aina yake,Tusubiri wanakuja kwa group tena kwa kasi.Pole mkewe. Huyu mtoto wa mama Rwakatare ni mlevi kupindukia. Na hivi mama yake hayupo duniani kwa sasa,hall ndo imekuwa mbaya zaidi. Ajiuzulu tu huo udiwani.
Mama alijitahidi sana kumtenganisha na kilaji wakati huoAs expected it was just a matter of time.
AsanteKata.
Mauno kama yoteAkutwa kwa mwanamke wa kizaramo
Mmeanza uteteziHata kupatikana kwa Mo Dewji wa Simba bado ni kitendawili jinsi alivyo tekwa na kupatikana kwake.
Kikwete alituachia msemo kuwa Akili za kuambiwa changanya na zako.