Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwani shemela huwezi kuniashura japo wiki tu..!!?Jerry Tegete nae alipita kwa Ashura ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani shemela huwezi kuniashura japo wiki tu..!!?Jerry Tegete nae alipita kwa Ashura ?
Asee ndie huyu kweli Bhangosha?Ashura kama Ashura. Diwani alikua sehemu salama sana hahahahahahahahaView attachment 2236886
Nitakuashuria wapi wakati ninaishi na mme wangu jamani.Kwani shemela huwezi kuniashura japo wiki tu..!!?
Nilikutana mtoto mmoja wa kizaramo kaishia kidato cha pili kafeli hakurudia tena shule. Yule mtoto akija juu kuikalia unaweza weweseka kuna namna flani anapanda na mboro na kushuka NATO sijawahi ona. Hawa wake zetu wenye masters na CPA kiingereza kingi hakuna kitu wanajifunza sex kupitia xvideos wanarukaruka tu.
Tupo kazini muda wote sie hata wewe kama una changamoto tutafute tukuhudumieWalijuaje kuwa yupo kwa huyo mzaramo?
Why masanja?!Huyo Ashura mnayemsifia sio lolote wala chochote, nitamnunulia gari siku akimpoteza Masanja Mkandamizaji [emoji23][emoji23]
Shemela voctoire Ashura, wote tunapotea homeNitakuashuria wapi wakati ninaishi na mme wangu jamani.
Kwanin mnawaza limbwata tuu na sio mambo mengine[emoji23][emoji23]?labda inawezekana Ashura anachompa jamaa mke wake hawezi kumpa [emoji9][emoji849]
KitamboJerry Tegete nae alipita kwa Ashura ?
Kashfa Iko wapi hapo? Hiyo sio plan ya allah huko ahera?Makafili mnatabu sn Hata km mada haihusiani utajitahidi mpk ukashifu
Mkuu umetisha.🤣
Vichekesho vingine hivi ni zaidi ya bongo movie yaani.Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.
Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.
Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
Ashura amemkamua jamaa hana hamuJamaa alitumika haswa mana amechoka kweli unaweza sema ni mnywa gongo na vimiguu vyembamba kweli[emoji23]
HatareeeKitambo
Ninanyonyesha kichanga. Siwezi potea.Shemela voctoire Ashura, wote tunapotea home
Mkuu kwani we mtu akikuibia unaenda kuripoti wapi?Kesi inatakiwa iwe Mahakamani na Sio Polisi. Polisi ni tuhuma tu. Mimi mwenyewe namfahamu Muta pia tumeishi nae Kkoo kabla hawajahamia Mikocheni na US Alabama ili mimi nilitangulia kurudi Bongo. Namfahamu tumekua wote.
Huyu hana kosa karudisha mpira kwa golikipaAisee huyo aliyempoteza mwenzake anachukuliwa hatua gani za kisheria?