Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Usicheke nishawai kukutana nae mmoja. Aliniteka kweli kweli.

Nilikuwa napata pata hela kizembe kazini nikawa napenda sana kununua viwanja vya bei nafuu.

Sasa yeye mzaramo mwenyej wa dar ndie akawa ananishtua akiona kiwanja cha bei nafuu kama dalali vile,,, maana huko chamazi, mbande, chanika, kitunda , kivule kote ana ndugu zake.

Kama utani nikajikuta nimemnunulia na yeye kimoja.

Waswahili wa kike sio kabisa katika mahaba.. kwanza wana heshima vibaya mnoo hawaoni ishu kukupa shikamoo bwana wake kisa umemzidi 2 yrs tu

Usiombe ukutane na hawa mabinti waliocheza unyagoo.. binti mdogoo ila jitu zima na ndevu zako unadekezwaa kama mtoto. Akija geto sasa akapikaa hata chai tu unatamani isiishe jinsi ilivyo tamuu na viungoo kibao. Hanunui chakula chochote hata mkate. Yeye lazima apike mwenyewe. Mko wawili tu ila ataamka mapema apike chapati ili aandae chai. Wakati nje zinauzwa kibao

Halafu sasa mizinga yake midogoo.. nikimpa laki ananiona wa maana kwelii.. kumbe hiyo laki ukitoka na sister duu kwenda kiwanja tu inakatika masaa tu

Wekend vijana wenzangu jobs wanaenda viwanja samak samak ama elements . Muhuni najifungua na mzaramo wangu mpaka j2
Umenifanya nimkumbuke mzaramo wangu pia!
Hawa watu wana mapenzi ya kudekeza na full heshima , na hawana makuu linapokuja swala la matumizi ya pesa , kama ulitokea kwenye mahusiano yenye heka heka , unaweza ukatua nanga kirahisi sana , Sishangai yaliyotokea kwa muheshimiwa diwani ,
 
Diwani alikuwa anafinyiwa kwa ndani miezi miwili, Kwa raha zake.

Ila tukumbuke hawa watoto wa Rwakatare Wana mgogoro wa mirathi, ukute Jamaa alitaka kujiweka mbali na masaibu ya dunia ndio akaamua akajifungie kwa mtoto wa kizaramo atulize kichwa, sasa kashakaa sawa kajitoa nje aendeleze mapambano.
Wakubwa wanafaidi
 
Usicheke nishawai kukutana nae mmoja. Aliniteka kweli kweli.

Nilikuwa napata pata hela kizembe kazini nikawa napenda sana kununua viwanja vya bei nafuu.

Sasa yeye mzaramo mwenyej wa dar ndie akawa ananishtua akiona kiwanja cha bei nafuu kama dalali vile,,, maana huko chamazi, mbande, chanika, kitunda , kivule kote ana ndugu zake.

Kama utani nikajikuta nimemnunulia na yeye kimoja.

Waswahili wa kike sio kabisa katika mahaba.. kwanza wana heshima vibaya mnoo hawaoni ishu kukupa shikamoo bwana wake kisa umemzidi 2 yrs tu

Usiombe ukutane na hawa mabinti waliocheza unyagoo.. binti mdogoo ila jitu zima na ndevu zako unadekezwaa kama mtoto. Akija geto sasa akapikaa hata chai tu unatamani isiishe jinsi ilivyo tamuu na viungoo kibao. Hanunui chakula chochote hata mkate. Yeye lazima apike mwenyewe. Mko wawili tu ila ataamka mapema apike chapati ili aandae chai. Wakati nje zinauzwa kibao

Halafu sasa mizinga yake midogoo.. nikimpa laki ananiona wa maana kwelii.. kumbe hiyo laki ukitoka na sister duu kwenda kiwanja tu inakatika masaa tu

Wekend vijana wenzangu jobs wanaenda viwanja samak samak ama elements . Muhuni najifungua na mzaramo wangu mpaka j2
Nimecheka
 
Usicheke nishawai kukutana nae mmoja. Aliniteka kweli kweli.

Nilikuwa napata pata hela kizembe kazini nikawa napenda sana kununua viwanja vya bei nafuu.

Sasa yeye mzaramo mwenyej wa dar ndie akawa ananishtua akiona kiwanja cha bei nafuu kama dalali vile,,, maana huko chamazi, mbande, chanika, kitunda , kivule kote ana ndugu zake.

Kama utani nikajikuta nimemnunulia na yeye kimoja.

Waswahili wa kike sio kabisa katika mahaba.. kwanza wana heshima vibaya mnoo hawaoni ishu kukupa shikamoo bwana wake kisa umemzidi 2 yrs tu

Usiombe ukutane na hawa mabinti waliocheza unyagoo.. binti mdogoo ila jitu zima na ndevu zako unadekezwaa kama mtoto. Akija geto sasa akapikaa hata chai tu unatamani isiishe jinsi ilivyo tamuu na viungoo kibao. Hanunui chakula chochote hata mkate. Yeye lazima apike mwenyewe. Mko wawili tu ila ataamka mapema apike chapati ili aandae chai. Wakati nje zinauzwa kibao

Halafu sasa mizinga yake midogoo.. nikimpa laki ananiona wa maana kwelii.. kumbe hiyo laki ukitoka na sister duu kwenda kiwanja tu inakatika masaa tu

Wekend vijana wenzangu jobs wanaenda viwanja samak samak ama elements . Muhuni najifungua na mzaramo wangu mpaka j2



Uliwezaje kujinasua?

Wenzio wengi huwa wanashindwa kujinasua na wanajikuta kuzama mazima!
 
Rama baunsa alipopigwa chini alipagawa....
Longtime nakumbuka tulikujaga na gari Toyota rider zile pickup kutoka afrika kusini,rama aliuzaga hela yote akaenda kula naye wakati ule rama anakaa ufipa,tuliwasaka sana tukawagumia hotel,tulienda kwake tulibeba vitu vyote tujifidie
Ashura anapenda raha bana

Ova
Kumbe kuficha watu hajaanza leo jamani🤣🤣
 
Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.

Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.

View attachment 2236722

Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
Dah....nimesoma Mara 10....sijaona kosa lolote.....ama kwa Diwani....ama kwa Ashura 🤣🤣🤣🤣
 
Haiishiwi helahuyo mamayaokawaachia helanyingingisana mchungaji rwakatale



Mama yake katafuta hela kwa shida,

Pengine saingine alikuwa halali sababu ya kutafuta pesa na mali,

Lakini mtoto anazitumbua hela kirahisi na malaya !

Hapa kuna Somo la kujifunza wazazi.


Unajinyima. Unakopa mtoto akija anatumbua na kutapanya mali na malaya [emoji24]
 
Back
Top Bottom