Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KataDiwani mlevi katelekeza jimbo
Sasa we muda tu ulishindwa ngamua code uliyopewa muda tuKata
Mmmh, hii chai kabisa, hakika jeshi limeupiga mwingi 🤣Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.
Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.
View attachment 2236722
Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
Ww noma ama ndo ashura mwenyewe nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha
Kuna comment moja nlichangia uzi
Wa johnthebaptist nlisema jamaa
Yupo tbt, na inasemekana yuko na dem....anaitwa A.M
Sasa mnamjua huyo A.m ni nani???
Watu mlishindwa ngamua code humu
Ova