Huyu anafaa kabisa kwa matumizi, Mimi ningemfungia hao polisi wasimuone....ningemchimbia handaki.Muta mwenyewe wachungaji hawa bwana View attachment 2236783
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Leteni picha ya Ashura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anafaa kabisa kwa matumizi, Mimi ningemfungia hao polisi wasimuone....ningemchimbia handaki.Muta mwenyewe wachungaji hawa bwana View attachment 2236783
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Umeona eeeh, Yani hili unalifungia, unaliogesha maji ya hiriki na vanilla, unalilisha....na kulipa yooooteee.Woiiiiiih halali Ashura amteke huyu Mutta, lipo vizuri physically had financially, kwan asijiongeze? Khaaaah we lol.
Maigizo hayataisha ndgu wamechez filamu nzur kweli...na Amer kwao iki waendelee kumpa matibabuJeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.
Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.
View attachment 2236722
Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichPi
Ulitisha mzeeHahaha
Kuna comment moja nlichangia uzi
Wa johnthebaptist nlisema jamaa
Yupo tbt, na inasemekana yuko na dem....anaitwa A.M
Sasa mnamjua huyo A.m ni nani???
Watu mlishindwa ngamua code humu
Ova
Una taka nimalizieHuyo Ashura ana cheo gan nawee?
Diwani wa,CCM ni mlevi+Malay.a.Kakutwa kwa Ashura .
Kwa maelezo haya nna hakika ashura sio pisiUna taka nimalizie
Haha,ukimjua mbn utashanga
Ngoja tuishie hapa
Naona sahv mambo yako kifamilia zaidi
Ova
hana taarifa kama anatafutwaDuu..kwaio kipindi chote hiki diwani anatafutwa kwanini huyo mwanamke asingetoa taarifa kuwa yupo nae wanakula uroda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona balaaa shos nahio mizagamuo usije ukampoteza Mtoto wawatu 😂🤣😂🤣 ?!Nipo njiani naelekea kwa Ashura kuchukua madesa, na mie nimteke mtoto wa mama mkwe, tena nae analewa ndo kabisaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unamjua rwakatare,au unamsikia?huyo ni mtoto wa marehem mama getrudaHela imeisha
Akapambane na maisha yake
Ashura mbinguni moja kwa moja
WANAWAKE WA KIISLAMU WAKO ROMANTIC SANA AISEEE.
NANYI JESHI KAMA MTU YUKO MIKONONI SALAMA KWA ASHURA, MUNGE KAA KIMYA BANA
Kumbe anae hata mke wooooiiii😅😅😅😅Pole mkewe. Huyu mtoto wa mama Rwakatare ni mlevi kupindukia. Na hivi mama yake hayupo duniani kwa sasa,hall ndo imekuwa mbaya zaidi. Ajiuzulu tu huo udiwani.