balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hata Mimi niliuonaHahaha
Kuna comment moja nlichangia uzi
Wa johnthebaptist nlisema jamaa
Yupo tbt, na inasemekana yuko na dem....anaitwa A.M
Sasa mnamjua huyo A.m ni nani???
Watu mlishindwa ngamua code humu
Ova