OnePlus Nord CE
Senior Member
- Feb 5, 2019
- 176
- 347
Nilikutana mtoto mmoja wa kizaramo kaishia kidato cha pili kafeli hakurudia tena shule. Yule mtoto akija juu kuikalia unaweza weweseka kuna namna flani anapanda na mboro na kushuka NATO sijawahi ona. Hawa wake zetu wenye masters na CPA kiingereza kingi hakuna kitu wanajifunza sex kupitia xvideos wanarukaruka tu.
Nina mashaka na hizi Tuhuma Zako kama ni za Kweli, haiwezekani Mtu ana tuhuma zaidi ya Elfu Moja na zinajulikana alafu mnamuacha aendelee kuwa Diwani wenu, basi nyinyi ndio wapuuzi na hamna akiliiw
Hapa wewe ndiyo una shida. Yani, mimi sihitaji kujua hizi tuhuma ni kweli ama la, bali nawaza jinsi unavyojenga hoja yako. Yani suala la kuwa na viongozi washenzi Tz ni suala la ajabu kwani?Nina mashaka na hizi Tuhuma Zako kama ni za Kweli, haiwezekani Mtu ana tuhuma zaidi ya Elfu Moja na zinajulikana alafu mnamuacha aendelee kuwa Diwani wenu, basi nyinyi ndio wapuuzi na hamna akili.
Kitufe cha kucheka kinanigomea nimeamia kicheka kaw sauti ha ha ha.Diwani alikuwa anafinyiwa kwa ndani miezi miwili, Kwa raha zake.
Ila tukumbuke hawa watoto wa Rwakatare Wana mgogoro wa mirathi, ukute Jamaa alitaka kujiweka mbali na masaibu ya dunia ndio akaamua akajifungie kwa mtoto wa kizaramo atulize kichwa, sasa kashakaa sawa kajitoa nje aendeleze mapambano.
Wewe unahitaji kupimwa akili, kuna mahala nimeandika lolote kuhusu uchaguzi au kuchaguliwa kwake? Alafu kama mna diwani ambae mnaamini ni tapeli kwa nini wananchi hamgomi na hamumkatai?? Na hizo tuhuma lukuki alizonazo mmewahi kwenda juu zaidi kumshtaki aada ya kuona hapo Kawe Poli wanakaa nazo bila hatua zaidi?Hapa wewe ndiyo una shida. Yani, mimi sihitaji kujua hizi tuhuma ni kweli ama la, bali nawaza jinsi unavyojenga hoja yako. Yani suala la kuwa na viongozi washenzi Tz ni suala la ajabu kwani?
Unavyojua wewe, ni asilimia ngapi ya viongozi wapo kihalali? Kuna watu wana tuhuma mzigo na wapo serikalini wanalamba asali.
Kwahiyo, wewe unaamini uchaguzi uliopita ulikuwa amani na haki tupu?
Aisee, unashangaza sana. Kha!
Vipi ile tabia yako ya kuchepuka chepuka uliacha? Au bado unaendelea nayo?Diwani alikuwa anafinyiwa kwa ndani miezi miwili, Kwa raha zake.
Ila tukumbuke hawa watoto wa Rwakatare Wana mgogoro wa mirathi, ukute Jamaa alitaka kujiweka mbali na masaibu ya dunia ndio akaamua akajifungie kwa mtoto wa kizaramo atulize kichwa, sasa kashakaa sawa kajitoa nje aendeleze mapambano.
Njoo tuchepuke, nikufungie Hadi uje uokolewe na jeshi....Vipi ile tabia yako ya kuchepuka chepuka uliacha? Au bado unaendelea nayo?
hahaha ndicho nilichokuwa nakitakaNjoo tuchepuke, nikufungie Hadi uje uokolewe na jeshi....
Njoo Tabata, Yani wewe utakuja kuokolewa na jeshi la anga kwa kushirikiana na la nchi Kavu🤣hahaha ndicho nilichokuwa nakitaka
Sema uko wapi nije unifiche
Hapo tabata watakuja kuniokoa wafungwa wa segerea dadekiiNjoo Tabata, Yani wewe utakuja kuokolewa na jeshi la anga kwa kushirikiana na la nchi Kavu[emoji1787]
Mwenye makasiriko ni wewe booring old fart.Wewe ambaye hujagoma,unaongozwa na nani huyo mwema?Wewe unahitaji kupimwa akili, kuna mahala nimeandika lolote kuhusu uchaguzi au kuchaguliwa kwake? Alafu kama mna diwani ambae mnaamini ni tapeli kwa nini wananchi hamgomi na hamumkatai?? Na hizo tuhuma lukuki alizonazo mmewahi kwenda juu zaidi kumshtaki aada ya kuona hapo Kawe Poli wanakaa nazo bila hatua zaidi?
Punguza makasiriko, tafuta hela.
Tafuta hela, don't get angry on strangers online. It's a sign of being broke.Mwenye makasiriko ni wewe booring old fart.Wewe ambaye hujagoma,unaongozwa na nani huyo mwema?
Au unaandika ukiwa umekalia ,kalio moja nini? Maana ndo type zenu hizo.
Tafuta hela, don't get angry on strangers online. It's a sign of being br
Wewe umetafuta pesa ungekuwa unajibizana na masikini mimi hapa JF? Kukariri misemo kuna athari zake.
Mmeanza sasa nyie watu nani kasema ni Rwakatale yuleeee Mchungaji za marehehmu??? ...ina maana basi na weye umezaliwa nani mtoto wa COVID?? je ni kweli? utafurahi ivo? ashura akamuokota!Hawa watoto wanamdhalilisha Sana marehemu mama Yao mhe. Rwakatale..
Waaa bongo siwawezi kwa maneno pwiii!
Maskni wee kampurura pesa zote, na kumtimua kijasusi, uwiiiiih
Ashura ajengewe sanamu, kamwakilisha vyema mnyaazi katika yale maandalizi ya midume 72.🤣