Diwani wa Kawe, Mutta Rwakatare adaiwa kupotea tena. Ndugu wamkosa kwa Ashura wa Tabata

Wanawake huwa wavumilivu sana kwenye pesa.

Mama Lwakatare ndie mwanamke tajiri kuliko wote Tanzania.

Hao watoto ni mabilionea

Mke anaanzia wapi kukosa moyo na uvumilivu..

Sio rahisi kupata mume kutoka koo tajiri
duuh mkuu basi mama alikua tajiri
 
Mbwa mkubwa! Huyu mpuuzi kuna kitu anakitafuta na atakipata hivi punde. Kama hawezi kutulia si aoe tu? Kwani hawa wasichana wote wasiokuwa na waume waliojaa kwenye kanisa la mama yake amekosa hata mmoja wa kumuoa amtulize? Mfyuuu zake! πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Your browser is not able to display this video.
 
Sasa ni zamu ya Shetani kuwachapa hawa watoto kichapo kikali! ili alipize kile kichapo Mama yao alicho mchapa shetani kipindi kileeee shetani toka tokaaaa!! ..... kuuumbe Mr devil alikuwa na lake jambo huku mbele!

hawa watoto wa Rwakatale wata pigwaaaaaa na shetani heeee! .............. Shetani kwake hkn kulia pooo! ...si mnamuona jiwe anavopigika??
 
hiyo tabia ni yakwake karithi kwa shetani akifa ataacha kwa sasa muacheni kwa sababu hako kamchezo hakukacheza utotoni.
 
Mtakuwa mnamuona pale tu akikubali Masharti ya 'Rehab Center' aliyopelekwa awali na aliko sasa Bagamoyo vinginevyo Kawe itaendelea Kumkosa Diwani wake ( wao ) sawa?

Na mlioamini ( Uongo mliopewa ) kuwa ile ya nyuma ( alivyopotea ) alikuwa amefichwa Tabata kwa Ashura Poleni sana na ikiwezekana ombeni nanyi pia Kujumuishwa ile Ripoti ya Orodha ya Wendawazimu 7,000,000 ( Millioni Saba ) waliopo ( wanaopatikana ) sasa nchini Tanzania.

Ninaomba niishie tu hapa tafadhali.
 

Acha kutetea ujinga. Mwambie anajidharilisha na kutia aibu kanisa maana yeye ndio mchungaji msaisizi wa mlima wa Moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…