Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

Kwa hiyo diwani wa CCM wa mbagala kuu amefariki kwenye mazingira ya kingono?
Kama ni kweli, Sioni sababu ya kusikitika maana marehemu alijitakia kifo na amekufa kifo cha aibu.
kafa kifo cha kimasihara
 
Kweli kabisa kuna mademu figure nzuri yaani dushe full kusimama bila wasiwasi.
 
Nimeshazika Wazee wa Kijiweni Wanne.
Last week nilikua nimesafiri kias jion naenda dukan ninunue panadol kwa pilikapika za kutwa nzima nikapita bar duka linalofata ni duka la vyakula...so kuna mbabu age amempita babangu akaniita kwa kejeli balaa..wee binti njoo hapa...alikua anagonga kvant..kwanza nilishangaa anagongaje kvant na age hiyo..amezungukwa n wapambe..anaonekana kama don hapo kijijini ..hahaa akaniambia nataka niutumie huo mwili leo🤣...tena kwa kujiamini..,nikamjibu katumie wa mkeo ...unabak kujiuliza huyu anadisa??nyok o zao wafe tu
 
Kuwa makini bwasheee na wewe tutakuja kusikia umekata moto pale guest za Mbalamaziwa njia panda Malangali. Kuwa makini sana usiitie serikali kwenye gharama za uchaguzi usio wa lazima
Hahahahhahahaa nyololo🤣🤣🤣 miaka ile kulikua na wabibi wanakaanga kuku kienyeji dah🤣🤣🤣🤣
 
😆😆Kuna vizee miyeyusho sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…