Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

Viagra itawaliza wengi, wizara ya afya toeni muongozo wa namna ya kutumia hizi dawa!! Wazee wenye presha na visukari watakwisha!!
Acha tu waishe.

Mshahara Wa dhambi ni mauti.
 
Umepiga Ramli au imekuaje?
Kutoa hukumu kama wewe ndie Tabibu aliethibitisha sababu Kifo?
 
Nilishaondoka huko mkuu 11yrs ago..nilikuja juz mafinga pameniboa eti ...papo papo tu hata sehen za kula nzuri hakuna unapelekwa migawahani😒

Oya huu Uzi ni wa kuhusu Diwani na Upumbavu wake wa Umalaya na Kufia Kiunoni na siyo hizi Pumba zenu zingine sawa? Sijaanzisha ( sijauleta ) ili muanze kutumiana Salamu na Kukumbushana kama vile mpo Hewani Kipindi cha Salamu Radio One Stereo.

Kama mnajuana au mnatoka Kijiji Kimoja au ni Wakulima nendeni huko PM mkapeane miadi mkutane wapi ili muyajenge na mjikumbushie Maisha yenu ya huko Vijijini mlikokuzoea sawa? Tafadhali mfikishie upesi huu Ujumbe na huyo Mbwiga ( Mshamba ) Mwenzako.
 
Usijali nitakupeleka sehemu nzuri😘

Oya huu Uzi ni wa kuhusu Diwani na Upumbavu wake wa Umalaya na Kufia Kiunoni na siyo hizi Pumba zenu zingine sawa? Sijaanzisha ( sijauleta ) ili muanze kutumiana Salamu na Kukumbushana kama vile mpo Hewani Kipindi cha Salamu Radio One Stereo.

Kama mnajuana au mnatoka Kijiji Kimoja au ni Wakulima nendeni huko PM mkapeane miadi mkutane wapi ili muyajenge na mjikumbushie Maisha yenu ya huko Vijijini mlikokuzoea sawa? Tafadhali mfikishie upesi huu Ujumbe na huyo Mbwiga ( Mshamba ) Mwenzako.
 
Hakika.

Ila hayo maneno kuwa hana akili...basi huwa nafikiri asilimia kubwa ya wanaume akili haipo

Kwa sabbu 90% ya wanaume huwa wanazini..

Huku.2% matatizo ya kibailojia

8% zilizobaki..humu watakatifu ni wengi sana

Ogopa hadi wanaojiita watumishi wa Mungu wana ngonoka
 
Hahahhaha...kwamba mmejigawa na taratibu za kumsaka zimeanza,Haya maneno huwa nayapenda sana.
 
🖕
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…