Dj movies wa Arusha acheni hizo kazi hamuziwezi

Acha Umbwira utaolewa
 
Kumbe mnaangaliaga zilizotafsiriwa? Usilalamike maana umekipenda wenyewe
 
kiukweli bongo nzima hakuna wa2 wanao tafsiri muvi wengi wana jaribu tu kuzielezea af inategemea na eneo ulipo na lafudhi yenu mfano arusha wengi wamezoea lafudhi za muphy d , ommy na master kama best djs uezi lazmisha mtu askilize archichi uyo mbana pua anaskilizwa na wadanapua wenzake sawa ss 2achien wagumu wetu mazafanta u;
 
Dj mack he is the best..
 
Ila yuko bomba zaid ya Ma dj wa Arusha. Kuna mtu alikua ana like
For u buda.......hatufanani ktk matamanio na kuridhika...naona umeamua kukufua vilivyo kwisha kufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…