Acha Umbwira utaolewaAiseee nyie ma dj mnaotafasiri muvi kutoka Arusha acheni tu hizo kazi maana kingereza hamjui kazi kuweka maneno na rafudhi ya ki ngada kwenye muvi mwishoni watoto wanayaiga mtaani.
Kuna hili limoja linajiita Murphy dj kutoka full respect familly ndio halijui kabisa...
Kazi kupataja kwa Muromboo tu.
waachieni watoto wa Acheche na King ndio wanaweza.
Kama imekutachi ruhusa kumwaga Gwanji yako..
Mondray♡♡
Bashitez,kumbe bado kuna watu wanaangalia movie zilizotafsiriwa kiswahili
For u buda.......hatufanani ktk matamanio na kuridhika...naona umeamua kukufua vilivyo kwisha kufa.Dj mack he is the best..
Kama anakukera temana nae acha tabia za kiwitch mtaani hatumaindigi usnitchLinakera bwana kutafsiri hajui anaharibu maana ya muvi..
BTW anisamehe tu sina jinsi..
Angalia amabao hawapotezi maudhuiHao wanajiita full respect walinifanya niache kabsa kuangalia muvi zilizo tafsiriwa, waongo wakubwa wanapotosha maudhui ya muvi hadi mtazamaji unaona aibu kutazama.