Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Prof Jay ilibidi serikali iingilie kati kusaidia matibabuNa vile NHIF zimekataa ishughulikia
Hebu fikiria kutoa zaidi ya 500,000 kila wiko kwa ajili ya dialysis.
Inakubidi angalau muwe na mapato ya zaidi ya 5mil kwa mwezi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Pole sana MkuuDah,
Steeeve,
One of the coolest dudes hands down!
RIP bro.
Wana bifu tu na dj John Dilinga hao Clouds hawana lolotekuna wakati fulani staff wa clouds media waliingiza siasa kuhusu maradhi ya steve B wakimlaumu DJ JD kwa kwenda kumtembelea na kupiganae picha
Umeona eeh?Alikua mtu poa sana. Nishawahi piga nae story uyu bro.
Hawa viumbe wakipata umaarufu kidogo wa ndani ya mipaka ya nchi huwa wanajidai ni watu special sana maradhi ya mmoja Kati yao huwa wanafanya ni Jambo la aibu pindi wanaposhindwa kumudu gharama za matibabu wakat inatakiwa Jambo liwe wazi tu ili mwenye moyo wa kutoa atoe msaada, japo haiepushi kifo lakini itasaidie kupunguza sehem flan ya tatizokuna wakati fulani staff wa clouds media waliingiza siasa kuhusu maradhi ya steve B wakimlaumu DJ JD kwa kwenda kumtembelea na kupiganae picha. sasa sijui huu msiba wataubeba wao au familia ya marehemu?.
Kama namuona vile kavaa kaptula ya grey ya Tambaza, tunakwenda kwao wakati wako hapa Mikocheni karibu na Morocco.Pole sana Mkuu
Kwa Luge walificha mwisho wa siku yalipowashinda wakaanza kutembeza bakuli.Hawa viumbe wakipata umaarufu kidogo wa ndani ya mipaka ya nchi huwa wanajidai ni watu special sana maradhi ya mmoja Kati yao huwa wanafanya ni Jambo la aibu pindi wanaposhindwa kumudu gharama za matibabu wakat inatakiwa Jambo liwe wazi tu ili mwenye moyo wa kutoa atoe msaada, japo haiepushi kifo lakini itasaidie kupunguza sehem flan ya tatizo
Hivi wale wazee kule vijijini wanakunywa gongo toka walivyokuwa vijana hadi uzee sikuwahi kusikia hayo tofauti ni nini? Au hawa vijana wa mjini hawali vzr na kunywa maji, maziwa kwa wingi?Bora hizi pombe za ngano kuliko spirits, spirits zinachoma kabisa.
Visungura na Double Kick vitaleta balaa kwa vijana wengi sana miaka 10 inayokuja
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wewe ni member wa Underground Soulz?Kifo cha DJ Steve B kimenikumbusha urafiki wetu tangu Tambaza, sote tukifuatilia sana muziki, hususan Hip Hop.
Baadaye uliturusha sana, kuanzia East Africa FM mpaka Clouds FM.
Pigo kubwa sana.
Regent estate, muanzilishi wa regent partyKama namuona vile kavaa kaptula ya grey ya Tambaza, tunakwenda kwao wakati wako hapa Mikocheni karibu na Morocco.
Nakumbuka back in the days.Tunakwenda studio East Africa FM kumpokea kipindi chake huku tunamsikiliza kwenye redio...
So many good memories maan.
High class, Imam Abbas, Baraka and Steve BKama namuona vile kavaa kaptula ya grey ya Tambaza, tunakwenda kwao wakati wako hapa Mikocheni karibu na Morocco.
Nakumbuka back in the days.Tunakwenda studio East Africa FM kumpokea kipindi chake huku tunamsikiliza kwenye redio...
So many good memories maan.
R.I.PDj Steve B aliyejipatia umaarufu miaka ya mwanzoni mwa 2000 amefariki dunia leo. Dj Steve B maarufu pia kama Dj Skills alikuwa maarufu kiasi cha kutajwa sana katika nyimbo nyingi za bongofleva za miaka ya 2000.
Nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita, pumzika kwa amani Steve BView attachment 2704085
Vipi Ugonjwa uliomuua ndiyo huo uliomfanya hili Shati alilolivaa hapa Pichani limvae kwa Kukonda ( Kupungua ) Kwake Kimaumbile au?
R.I.P Dj Steve B.
Achana na kilaza huyo, mm ninafahamu watu zaidi ya watano walifariki kwa tatizo la figo na hawajawahi kugusa pombeNdio mwisho wako wa maarifa? umeshasoma causes za kidney failure zipo ngapi? common ni zipi? unadhani kila mtu anayeumwa figo ni mnywa pombe? nenda pale muhimbili dialysis alafu uulize walevi ni wangapi na wasiokunywa ni wangapi, utagundua huna akili.
Nakumbuka kuna jingle moja aliimba marehemu Mr Ebbo "Dj Steve wewe ndiyo unafanya watu wasilale"
Hiyo ni safari yetu sote, tangulia nasi tupo nyuma yako.
Pumzika kwa amani mwamba 😭😭
Steve B, Nature Vencha ni mafundi wa kukesha…