TANZIA DJ Steve B afariki dunia

kuna wakati fulani staff wa clouds media waliingiza siasa kuhusu maradhi ya steve B wakimlaumu DJ JD kwa kwenda kumtembelea na kupiganae picha. sasa sijui huu msiba wataubeba wao au familia ya marehemu?.
Hawa viumbe wakipata umaarufu kidogo wa ndani ya mipaka ya nchi huwa wanajidai ni watu special sana maradhi ya mmoja Kati yao huwa wanafanya ni Jambo la aibu pindi wanaposhindwa kumudu gharama za matibabu wakat inatakiwa Jambo liwe wazi tu ili mwenye moyo wa kutoa atoe msaada, japo haiepushi kifo lakini itasaidie kupunguza sehem flan ya tatizo
 
Kwa Luge walificha mwisho wa siku yalipowashinda wakaanza kutembeza bakuli.

Clouds ni watu wa hovyo sana
 
Bora hizi pombe za ngano kuliko spirits, spirits zinachoma kabisa.

Visungura na Double Kick vitaleta balaa kwa vijana wengi sana miaka 10 inayokuja

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hivi wale wazee kule vijijini wanakunywa gongo toka walivyokuwa vijana hadi uzee sikuwahi kusikia hayo tofauti ni nini? Au hawa vijana wa mjini hawali vzr na kunywa maji, maziwa kwa wingi?
 
Regent estate, muanzilishi wa regent party
 
R.
R.I.P
Jamaa kwa kumuona kwenye picha tu,anaonekana alikua mpole sana.
 
Achana na kilaza huyo, mm ninafahamu watu zaidi ya watano walifariki kwa tatizo la figo na hawajawahi kugusa pombe
 
Nakumbuka kuna jingle moja aliimba marehemu Mr Ebbo "Dj Steve wewe ndiyo unafanya watu wasilale"

Hiyo ni safari yetu sote, tangulia nasi tupo nyuma yako.

Pumzika kwa amani mwamba 😭😭

"Sitivibii wewe unamfanya muji unatishingika , asandee" - Abel Motika(Mr Ebbo).

Poleni Ndugu , Jamaa na Marafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…