Dk. Jonh Pombe Magufuli achukua fomu kugombea urais wa Tanzania

Magufuli Watanzania hatumtaki,tunamtaka Lowasa
 
Makada wawania urais kupitia CCM wamiminika Dodoma kuchukua fomu.

Safari ya chama cha mapinduzi ya kupata mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu ujao imeendelea kushika kasi baada ya makada sita wa chama hicho kuchukua fomu hii
leo na kufanya jumla ya makada 11 wa chama hicho kujitokeza ndani ya siku mbili tangu zoezi hilo lifunguliwe rasmi june tatu mwaka huu.

Miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu hii leo ni pamoja na waziri mkuu mstaafu awamu ya tisa Mhe Edward Lowassa mbunge wa jimbo la Monduli ambaye amejinadi kuwa hana mpango wa kushindwa na amechoka na siasa za matusi na tuhuma na kudai kuwa hiyo sio demokrasia kwa viongozi wenye nia ya kweli ya kulikomboa taifa.

Mwingine ni aliyewahi kuwa waziri mkuu wa awamu ya nane Fredrick Sumaye ambaye amebainisha kuwa endapo atapata ridhaa ya chama hicho ya kuwania urais na kushinda atahakikisha anatokomeza kabisa tatizo sugu la rushwa kwa kuunda vyombo maalum ikiwemo mahakama ya wala rushwa huku akitumia rasilimali za asili zilizoko nchini kuinua uchumi wa watanzania.

Kada mwingine aliyejitokeza ni John Pombe Magufuli ambaye hivi sasa ni waziri wa ujenzi lakini pia amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya CCM kwa ufanisi wa hali ya juu ambaye yeye ametamba kipaumbele chake cha kwanza ni kutekeleza kwa vitendo ilani ya chama cha mapinduzi.

Makada wengine waliojitokeza ni makamu wa rais Dk Mohamed Gharib Bilal, balozi Ali Karume na mwanafunzi wa chuo kikuu cha Mzumbe Morogoro Amos Siyatenzi huku makada wengine zaidi wakitarajiwa kujitokeza katika muda ambao chama hicho kimeweka kuanzia June 3 mpaka Julai 2.

 
anawadanganya wachache na takwimu zake tangu enzi zile za kuhesabu idadi ya sangara

masai dada,wala sipati shida kujua uko kambi ipi kati ya lowasa wa monduli,magufuli,......
 
Hakuna bora wote ni wachafu hawafai bilioni 262 siyo pesa ndogo atuambie alizipeleka wapi kwanza?

Yaani ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa huyu jamaa anapendwa balaa na wananchi wa vijijini. Mambo ya nyumba za serikali hawana muda nao na hawataki kujua kwa sababu hayagusi maisha yao ya kila siku, vilevile ya CAG tunayajua sisi tu ila wananchi hawana time nayo.
Kama uamini ngoja jamaa atembee vijijini huwa ni maarufu kuliko waziri yeyote na hata rais ameshakutana na hali hiyo. Watu wanampenda Balaa.
 
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza huyu ripoti ya CAG imebaini bilioni 262 hajijulikani zimeenda wapi.

Iko wazi CAG ni mshirika wa team EL. Vipi mbona huzungumzii ufisadi wa chadema kwenye report ya CAG ?
 
Siwezi sikiliza rubish, nyuma zimeuzwa kwa usimamizi na ushauri wake. Kimadawake amepata nymba mwenge kabomoa kajenga Kebbys hotel, hivyo ndiyo wananchi wanajua na ndiyo ukweli wa hilo jambo

We kibaraka wa EL kaa kimya wewe....tuletee huo ushahidi..sio unaleta story za vijiweni na propaganda mnazotumwa kueneza baada ya kupokea mpunga kutoka kwa uncle E. Ongezeni bidii or else hizo pesa zitawatokea puani, nyama mkebe wee!
 

Kaka asante sana kwa kuweka hiyo video clip...jamaa wamejitahidi sana kumaukumia Magufuli mzigo wa mavi kwa lengo la kumchafua...tutatumia hiyo clip na watanzania watajua ukweli!
 

Kwasasa Tanzania inahitaji rais mwenye elements zifuatazo
1) Msafi
2) Anayetumia mabavu

Chapter closed
 

PPM is racing against time! Ameshakula pesa na team EL haielekei kuchukua ushindi...hizo pesa atazitolea kupitia shimo la nyuma
 
Hivi taifa linaingia gharama kiasi gani kutokana na kupanga nyumba za viongozi baada ya kuuza nyumba zake.

Peleka hilo swali kwenye thread ya Sumaye alishaelezea nani aliuza hizo nyumba...acha udaku
 
Emma, kama huna ya kuongea kaa kimya, siku ya pili sasa huna hoja nyingine?kila sentesi mbili unarudia hayohayo.Grow!!

Achana na Emma..hiyo ni misukule imenunuliwa smartphones afu ikawa programmed kutoa jibu hilohilo kila baada ya dakika 5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…